Mvua zaendelea kuwa kilio kwa wakazi wa jijini Dar es Salaam

Sisi ni utalii, ndege ya mizigo, kuwaita mafisadi stupid, misafara mirefu ya bibie, kumsifu sana bibie kupitia TBC, kuwawezesha zenji, kushangilia ya Yanga na Simba, kupiga vipicha na vitoto, na nini sijuwi.
Mambo ya barabara kujaa maji mtajijuwa, tuko biz na hayo!😭😭😭😭
 
Kusifu ni laisi zaidi kuliko hayao uyasemayo
 
Miaka ya zamani Dar ilikua haina hili tatizo, kuanzia miaka ya 1985 ndio hili tatizo la maji kujaa bara barani, kabla ya hapo kulikuwa na miundo mbinu ya kutoa maji bara barani sasa ilipoanza kuziba ndio hili tatizo lilipoanza mpaka sasa limesha kuwa sugu
 
Usifananishe Dar ya mzungu na uswahili wa mtu mweusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…