Mvua zinanyesha nchi nzima, mavuno kwa wingi yanavunwa na kelele za "Bashe Funga Mipaka" zimekwisha

Mvua zinanyesha nchi nzima, mavuno kwa wingi yanavunwa na kelele za "Bashe Funga Mipaka" zimekwisha

Stuxnet

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2011
Posts
13,417
Reaction score
23,310
Kuanzia Bashe amekuwa Waziri wa Kilimo msimamo wake ilikuwa ni kutofunga mipaka ili wakulima wapate bei nzuri ya mazao yao. Humu JF kuliandikwa nyuzi nyingi za kulaani kutofunga mipaka na kutabiri njaa kutokea Tanzania.

Kati ya Machi na Mei mikoa mingi sana wamevuna na bei zimeshuka chini. Na sasa tunapata mvua za kutosha kuanzia Mei hadi mwisho wa June 2023.

Wako wapi wale waliokuwa wanatoa macho kumuambia Bashe afunge mipaka ili chakula kisitoke?
 
Kuanzia Bashe amekuwa Waziri wa Kilimo msimamo wake ilikuwa ni kutofunga mipaka ili wakulima wapate bei nzuri ya mazao yao. Humu JF kuliandikwa nyuzi nyingi za kulaani kutofunga mipaka na kutabiri njaa kutokea Tanzania.

Kati ya Machi na Mei mikoa mingi sana wamevuna na bei zimeshuka chini. Na sasa tunapata mvua za kutosha kuanzia Mei hadi mwisho wa June 2023.

Wako wapi wale waliokuwa wanatoa macho kumuambia Bashe afunge mipaka ili chakula kisitoke?
Magufuli hakukata miti million 3?
 
Kuanzia Bashe amekuwa Waziri wa Kilimo msimamo wake ilikuwa ni kutofunga mipaka ili wakulima wapate bei nzuri ya mazao yao. Humu JF kuliandikwa nyuzi nyingi za kulaani kutofunga mipaka na kutabiri njaa kutokea Tanzania.

Kati ya Machi na Mei mikoa mingi sana wamevuna na bei zimeshuka chini. Na sasa tunapata mvua za kutosha kuanzia Mei hadi mwisho wa June 2023.

Wako wapi wale waliokuwa wanatoa macho kumuambia Bashe afunge mipaka ili chakula kisitoke?

Tatizo uelewa wako mdogo kufikiri hizi mvua zina impact kwa sasa
 
Kuanzia Bashe amekuwa Waziri wa Kilimo msimamo wake ilikuwa ni kutofunga mipaka ili wakulima wapate bei nzuri ya mazao yao. Humu JF kuliandikwa nyuzi nyingi za kulaani kutofunga mipaka na kutabiri njaa kutokea Tanzania.

Kati ya Machi na Mei mikoa mingi sana wamevuna na bei zimeshuka chini. Na sasa tunapata mvua za kutosha kuanzia Mei hadi mwisho wa June 2023.

Wako wapi wale waliokuwa wanatoa macho kumuambia Bashe afunge mipaka ili chakula kisitoke?
Unakuta mtu yupo Buguruni anapita dukani anakwambia bei za vyakula zimepanda nchi nzima asijue kwamba anaongelea Buguruni na bei za vyakula mikoani zipo vilevile. Kilichokuwa kimepanda ni bei za mafuta tu
 
Kuanzia Bashe amekuwa Waziri wa Kilimo msimamo wake ilikuwa ni kutofunga mipaka ili wakulima wapate bei nzuri ya mazao yao. Humu JF kuliandikwa nyuzi nyingi za kulaani kutofunga mipaka na kutabiri njaa kutokea Tanzania.

Kati ya Machi na Mei mikoa mingi sana wamevuna na bei zimeshuka chini. Na sasa tunapata mvua za kutosha kuanzia Mei hadi mwisho wa June 2023.

Wako wapi wale waliokuwa wanatoa macho kumuambia Bashe afunge mipaka ili chakula kisitoke?

Tuliambiwa kuwa mvua hazinyeshi kwa sababu Magufuli alikata miti milioni 3! Imekuwaje tena mvua zinanyesha!

Mkiwa waongo ni vizuri msiwe wasahaulifu!
 
Magufuli hakukata miti million 3?
Alikata miti zaidi ya Milioni 4. Halafu kumbuka kilawaida June siyo mwezi wa mvua. Mvua za vuli hunyesha katika miezi ya Oktoba, Novemba na Desemba na mvua za masika hunyesha katika miezi ya Machi, Aprili na Mei.

Kitendo cha kupata mvua za masika mwezi June ni ishara ya mabadiliko ya tabia nchi. Athari za miti iliyokatwa bado zipo
 
Tuliambiwa kuwa mvua hazinyeshi kwa sababu Magufuli alikata miti milioni 3! Imekuwaje tena mvua zinanyesha!

Mkiwa waongo ni vizuri msiwe wasahaulifu!
Acha upotoshaji wa kijinga, kukatwa kwa miti wote tunaelewa kunaleta mabadiliko ya tabia nchi. Na mabadiliko ya tabia nchi sio lazima mvua isinyeshe tu, bali inaweza kunyesha kupita kiasi, awa ikanyyesha bila kufuata ratiba halisi, vimbunga nk. Labda useme wale wanaotoa elimu ya kuwa kukata miti kunasababisha ukame na mabadiliko ya tabia nchi ni waongo. Tukikubaliana kwenye hilo uje uendelee na huo utetezi wako wa Magufuli kukata hiyo miti.
 
Back
Top Bottom