Kuanzia Bashe amekuwa Waziri wa Kilimo msimamo wake ilikuwa ni kutofunga mipaka ili wakulima wapate bei nzuri ya mazao yao. Humu JF kuliandikwa nyuzi nyingi za kulaani kutofunga mipaka na kutabiri njaa kutokea Tanzania.
Kati ya Machi na Mei mikoa mingi sana wamevuna na bei zimeshuka chini. Na sasa tunapata mvua za kutosha kuanzia Mei hadi mwisho wa June 2023.
Wako wapi wale waliokuwa wanatoa macho kumuambia Bashe afunge mipaka ili chakula kisitoke?
Unazungumzia mabadiliko ya Tabia Nchi au Mabadiliko ya hali ya Hewa? Wewe ni KiaziAlikata miti zaidi ya Milioni 4. Halafu kumbuka kilawaida June siyo mwezi wa mvua. Mvua za vuli hunyesha katika miezi ya Oktoba, Novemba na Desemba na mvua za masika hunyesha katika miezi ya Machi, Aprili na Mei.
Kitendo cha kupata mvua za masika mwezi June ni ishara ya mabadiliko ya tabia nchi. Athari za miti iliyokatwa bado zipo
Unaweza kutukana kwa kuwa hicho ndicho ulichorithi kwa mama yako malaya.Unazungumzia mabadiliko ya Tabia Nchi au Mabadiliko ya hali ya Hewa? Wewe ni Kiazi
Acha upotoshaji wa kijinga, kukatwa kwa miti wote tunaelewa kunaleta mabadiliko ya tabia nchi. Na mabadiliko ya tabia nchi sio lazima mvua isinyeshe tu, bali inaweza kunyesha kupita kiasi, awa ikanyyesha bila kufuata ratiba halisi, vimbunga nk. Labda useme wale wanaotoa elimu ya kuwa kukata miti kunasababisha ukame na mabadiliko ya tabia nchi ni waongo. Tukikubaliana kwenye hilo uje uendelee na huo utetezi wako wa Magufuli kukata hiyo miti.
Ungekuwa mkulima usingeandika huo utumbo.
Mkuu mvua ni kweli zimenyesha, ila hilo neno sana hebu liondoe. Kuna sehemu nyingi tu hizo mvua zimenyesha bila mtiririko mzuri, ni kweli kuna siku zimenyesha nyingi hadi mafuriko, lakini sio kwa mtiririko mzuri wa kilimo. Mfano halisi ni huko Arusha. Ninakuambia hili nikiwa na ushahidi na nisemacho.Mvua zimenyesha sana mikoani kuanzia April hadi leo kwenye mikoa ya Mbeya, Iringa, Rukwa, Mwanza, Arusha kwa ile niliyokuwa na uhakika.
Usingepanick ningeshangaa sana.Kama mimi upotoshaji wangu niwa kijinga basi wewe ulichoandika ni upu.mbavu bila kujua kama ni upu.mbavu!
Hawaachagi ulalamishi haoKuanzia Bashe amekuwa Waziri wa Kilimo msimamo wake ilikuwa ni kutofunga mipaka ili wakulima wapate bei nzuri ya mazao yao. Humu JF kuliandikwa nyuzi nyingi za kulaani kutofunga mipaka na kutabiri njaa kutokea Tanzania.
Kati ya Machi na Mei mikoa mingi sana wamevuna na bei zimeshuka chini. Na sasa tunapata mvua za kutosha kuanzia Mei hadi mwisho wa June 2023.
Wako wapi wale waliokuwa wanatoa macho kumuambia Bashe afunge mipaka ili chakula kisitoke?
Mkuu hujui jinsi gani mvua zinaharibu mazao yaliyokaribia kuvunwaaa, ni hasara
Hazina impact kwa nyie mnaoishi mijini kufanya kazi za kuuza ice cream, kusuka nywele wadada, kuuza viatu vya mtumba barabarani nk
Wwkulima wanajuwa walime nini
Unaonekana huna uelewa kabisa wa masuala ya kilimo.Kuanzia Bashe amekuwa Waziri wa Kilimo msimamo wake ilikuwa ni kutofunga mipaka ili wakulima wapate bei nzuri ya mazao yao. Humu JF kuliandikwa nyuzi nyingi za kulaani kutofunga mipaka na kutabiri njaa kutokea Tanzania.
Kati ya Machi na Mei mikoa mingi sana wamevuna na bei zimeshuka chini. Na sasa tunapata mvua za kutosha kuanzia Mei hadi mwisho wa June 2023.
Wako wapi wale waliokuwa wanatoa macho kumuambia Bashe afunge mipaka ili chakula kisitoke?
Hakuna.mkulima anayeweza kulima sahizi eti kwa sababu ya mvua zinazonyesha. Wanaolima sahizi wanategemea kumwagilia, siyo hizi mvua za siku chache.Hazina impact kwa nyie mnaoishi mijini kufanya kazi za kuuza ice cream, kusuka nywele wadada, kuuza viatu vya mtumba barabarani nk
Wwkulima wanajuwa walime nini
Shakahola panakuhusuNaomba Mungu mvua isinyeshe miaka kumi mfulululizo wote tufe na kuangamia na njaa. Hatuna msaada wowote. Tunakula tu nakunya tukisubiria kufa. Tufe tu wote kwa njaa.
Kumbe ikikatwa miti mingi mvua zinanyesha sana.Alikata miti zaidi ya Milioni 4. Halafu kumbuka kilawaida June siyo mwezi wa mvua. Mvua za vuli hunyesha katika miezi ya Oktoba, Novemba na Desemba na mvua za masika hunyesha katika miezi ya Machi, Aprili na Mei.
Kitendo cha kupata mvua za masika mwezi June ni ishara ya mabadiliko ya tabia nchi. Athari za miti iliyokatwa bado zipo
Nitashangaa kama we jamaa una ELIMU hata ya form six.Acha upotoshaji wa kijinga, kukatwa kwa miti wote tunaelewa kunaleta mabadiliko ya tabia nchi. Na mabadiliko ya tabia nchi sio lazima mvua isinyeshe tu, bali inaweza kunyesha kupita kiasi, awa ikanyyesha bila kufuata ratiba halisi, vimbunga nk. Labda useme wale wanaotoa elimu ya kuwa kukata miti kunasababisha ukame na mabadiliko ya tabia nchi ni waongo. Tukikubaliana kwenye hilo uje uendelee na huo utetezi wako wa Magufuli kukata hiyo miti.
Standard 7 yenyewe nimefika kwa shida boss.Nitashangaa kama we jamaa una ELIMU hata ya form six.