Mvua...

Mvua...

Poleni kwa Mvua, sie tulioko huku Magharibi ya Mbali ni Baridi ya Hatariiii.
 
Mh! we unafanya shughuli gani?! nyumbani sahizi?!!!!
MP.

Kazi sio mpaka ofcn...pia kuna wengine chini ofice juu nyumba ya kuishi...teh hujalijua hilo?
Yan nashuka najipa shughuli faster then naendelea na kazi
 
hahahahaaa...mmesign owt mapemaaa...
hii mvua kiboko...
maboss leo wanakazi...
maana anaweza akajikuta kabaki mwenyewe ofcn!
Kwanza unaweza kuta boss ndio kawa wa kwanza kupotea kimyakimya teh
 
Kazi sio mpaka ofcn...pia kuna wengine chini ofice juu nyumba ya kuishi...teh hujalijua hilo?
Yan nashuka najipa shughuli faster then naendelea na kazi

Kumbe tupo na wahindi humu!!
MP.
 
Nani anafurahia mvua ya leo Dar?!I'm NOT!!

Yani hali ya hewa inakua nzuri maana joto linapungua sema natamani ingenyesha siku ambayo sina mizunguko nitulie zangu ndani.Au ingenyesha kidogo tu kama jana....

Lizzy...
Kwanza habari yako.. Za siku? Uko poa? Long time...!
Haya naomba nikuswalike..Umeenda bongoo..au umefuatilia vyombo vya habari juu ya hali ya hewa?
 
Hivi kwa nini mvua ikinyesha dar foleni pia inaongezeka.

sababu ni wengi tulio na magari hatupiti zile "panya routes" ambazo kipindi cha mvua nyingi hazipitiki kwa kuwa na madimbwi ya maji"
 
Hii mvua gani? Au tungo Tata? Maana kila siku misamiati inakua hebu tujuzaneni jamani ili tupate cha kuchangia
 
Nani anafurahia mvua ya leo Dar?!I'm NOT!!

Yani hali ya hewa inakua nzuri maana joto linapungua sema natamani ingenyesha siku ambayo sina mizunguko nitulie zangu ndani.Au ingenyesha kidogo tu kama jana....
worry not mpendwa,i know what you mean,next time ikinyesha just tap bishanga,a man of all seasons!
 
Mvua inaponyesha, ardhi inapoa. Ardhi inapo poa nayo inapoza hewa. Hewa inapo poa inaburudisha. Unapo burudika, unakuwa na furaha.

Yataka utafakari kwa makini ndipo uzijue neema za muumba wetu.
 
I miss the rain... huku mlali hakunyeshi! na ikinyesha ni manyunyu tu!
 
When I was little I used to sing

rain rain, go away
come back/again another day
little Arthur/Johny wants to play
You grew up in a funny country.
Sisi huku tunaimba mvua njo, katarina usije (or something like that)
 
Back
Top Bottom