Mvulana huyu kashangaza wengi siku ya jana kisa...

Unabet unapata 1,850,00/= Kwa furaha unaingia barabarani unagalagala unagongwa na gari halafu unakufa......
 
Mkeka Mkubwa huyo aliweka timu nyingi sana kama kumi na tano kwenda mbele halafu akawa ameweka pesa ndogo mno

ungemuuliza vizuri pesa aliyoweka kama sio 500/= basi hahizidi buku mbili ila kaingiza hiyo M1.85

Ndio maana kachanganyikiwa huyo dogo
😳😳😳😳 Kumbe!
 
Daah.
Isinikumbushe weekend hii mkeka wangu man you aliuchana mil 20.
Madrid nilimkataa, nikamkataa chelsea.
Nikamkataa roma.

Alaaniwe yule refa w gemu ya man you Na Chelsea
 
Chezea Jero kuingiza 1,850,000/= bila kwanini asidate 😀😀😀
hahahah, halafu kwa umri ule nadhani hajawahi kushika kiasi kikubwa cha fedha. Ni mvulana mdogo bado hajawa mwanamme
 
Daah.
Isinikumbushe weekend hii mkeka wangu man you aliuchana mil 20.
Madrid nilimkataa, nikamkataa chelsea.
Nikamkataa roma.

Alaaniwe yule refa w gemu ya man you Na Chelsea
Pole, jaribu tena na tena
 
Kwa niaba ya Wazee wenzangu wa kubeti tunampongeza huyo kijana/dogo kwa ushindi murua..
 
Sasa si ungeacha kuendelea ku bet kwa kuwa tayari ulishafanikiwa?
Dah ntaacha nikioa kwa sasa bado.
Nyingine naweka sie tunaita mtaji,madau yangu ya kuweka ni makubwa.
Nimeshapata nyingi zaidi ya hiyo inazidi mara nyingi
 
Mkeka Mkubwa huyo aliweka timu nyingi sana kama kumi na tano kwenda mbele halafu akawa ameweka pesa ndogo mno

ungemuuliza vizuri pesa aliyoweka kama sio 500/= basi hahizidi buku mbili ila kaingiza hiyo M1.85

Ndio maana kachanganyikiwa huyo dogo
Kwani kupata mil 1.8 lazima uweke timu nyingi?

Kama alibeti ngumu kumeza?

Umejuaje kama mkeka ulikuwa mkubwa?

Unaweza kujifanya unajua kumbe haujui, anayejua ni mshindaji tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…