Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 11,129
- 7,321
Umeongea maneno yenye ujumbe mzito sana mkuu. Ahsante sana
Najua mzazi wa mtoto huyo hiyo hela takauwa ameiona chungu, hata kama siku hiyo alikuwa hana hata hela ya kula chakula cha mchana; kwamba million moja inakuja na balaa la kutaka kupoteza maisha ya mtoto wake!
Umeongea maneno yenye ujumbe mzito sana mkuu. Ahsante sana
Najua mzazi wa mtoto huyo hiyo hela atakuwa ameiona chungu, hata kama siku hiyo alikuwa hana hata hela ya kula chakula cha mchana; kwamba million moja inakuja na balaa la kutaka kupoteza maisha ya mtoto wake!