Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Sasa kama alienda kuwa mbunge wa CCM unaweza kumshtaki hapo?Uongo mtupu....
Mahakama kwanini haikumfungulia mashtaka ?!!
Yaani jinai ife kisa mtu mtumishi kaacha kazi ?!!!
Wakili hebu kuwa serious kidogo.....
Hii nchi CCM si mmeiweka mifumo yote mfukoni?