CCM OYEEE. VITA VYA PANZI.......... .......Tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutudhihirishia yale ambayo wazalendo wa nchi hii tuliyotabiri na kuyaamini.
Upinzani wa nchi hii bado ni mchanga na CCM inatakiwa kuendelea kuulea hadi ukue.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Unadhani CCM kuna ukomavu? Mnakaa kimya kulinda teuzi zenu! kulinda matumbo yenu....thubutu kusema samia hafai ukione cha moto juu ya kula yako/tumbo lako/kama watoto wataenda chooniTunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutudhihirishia yale ambayo wazalendo wa nchi hii tuliyotabiri na kuyaamini.
Upinzani wa nchi hii bado ni mchanga na CCM inatakiwa kuendelea kuulea hadi ukue.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Huo ndio ukomavu sasa.. Ccm msingeweza kabisaTunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutudhihirishia yale ambayo wazalendo wa nchi hii tuliyotabiri na kuyaamini.
Upinzani wa nchi hii bado ni mchanga na CCM inatakiwa kuendelea kuulea hadi ukue.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!