Mvuto wa Magufuli kwa Upinzani: Mbunge wa Ndanda (CHADEMA), Cecil Mwambe anadi Ilani ya CCM bungeni

Mvuto wa Magufuli kwa Upinzani: Mbunge wa Ndanda (CHADEMA), Cecil Mwambe anadi Ilani ya CCM bungeni

Mbuge wa Ndanda (Chadema)
cecil mwambe.jpg
Cecil Mwambe akiwa na Ilani ya CCM wakati alipohudhuria kikao cha saba cha mkutano wa 13 wa Bunge jijini Dodoma.
 

Mbunge wa Ndanda kwa tiketi ya CHADEMA, Cecil Mwambe akiwa bungeni ameshikilia Kitabu cha Ilani ya CCM. Hii ni dalili njema kuwa, aliyoyafanya Rais Magufuli hasa ununuzi wa korosho, ni kibali kikubwa sana cha wananchi wa Jimbo la Ndanda mkoani Mtwara kwa Magufuli.

In fact, that's is an endorsement to the Omuzilankende!!
Ni fire...🔥🔥🔥.
Wale waliotaka kupigwa shangazi zao
 
Watumishi fanyeni hujuma indirect dhidi ya serikali hii onevu dhidi yenu
 
Mbunge huyo alishika ilani hiyo kwenda kumkamata wizi waziri na JPM kwa kutoa ahadi ya uongo!Nimesikiliza wakati wa kipindi cha maswali na majibu,Mwambe katika maswali yake ya nyongeza alitumia Ilani kama reference juu ya ahadi za JPM wakati anaomba kura jimboni kwake,akakumbusha aliahidi barabara ya kiwango cha lami!
Sasa walaghai mshaanza kutwist habari kwa manufaa yenu kisiasa!
Hahahaha
Fyeeekelea mbali walahi
Hauna kitu walahi
 
Back
Top Bottom