Mvuvi aliyeongoza uokoaji na wale waliopambana mwanzo wapewe kazi zimamoto

Mvuvi aliyeongoza uokoaji na wale waliopambana mwanzo wapewe kazi zimamoto

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Nasikia serikali imempa kiongozi wa waokoaji 1m. Ingependeza, kama anataka apewe kazi zimamoto na uokoaji.

Yeye na wenzake waliopambana kwaajili ya maisha ya watanzania wenzao. Ufaransa kuna kijana muhamiaji alipambana kwenda kumuokoa mtoto aliyekuwa karibu kuanguka ghorofani, zawadi yake alipewa kazi zimamoto.

Itakuwa ni fair sana hao jamaa wakipewa ajira.
 
Nasikia serikali imempa kiongozi wa waokoaji 1m. Ingependeza, kama anataka apewe kazi zimamoto na uokoaji.

Yeye na wenzake waliopambana kwaajili ya maisha ya watanzania wenzao. Ufaransa kuna kijana muhamiaji alipambana kwenda kumuokoa mtoto aliyekuwa karibu kuanguka ghorofani, zawadi yake alipewa kazi zimamoto.

Itakuwa ni fair sana hao jamaa wakipewa ajira.
Bora abaki tu hukohuko aliko anakuja kukumbana na maumivu makubwa
 
Wakiwapeleka huko watazoofika itatokea dharula tena wasiwepo ziwani cha muhimu ile mitumbwi walio tumia kuokolea ilikua haina hata 4WD yani kama baskeli_utafika kwa nguvu zako wale walikua wana piga makasia, wangewapa hata mashine ili iwe bora kabisa na kumbu kumbu ya kudumu kwa ushujaa wao nadhani wangekua wamewatendea haki
 
Nasikia serikali imempa kiongozi wa waokoaji 1m. Ingependeza, kama anataka apewe kazi zimamoto na uokoaji.

Yeye na wenzake waliopambana kwaajili ya maisha ya watanzania wenzao. Ufaransa kuna kijana muhamiaji alipambana kwenda kumuokoa mtoto aliyekuwa karibu kuanguka ghorofani, zawadi yake alipewa kazi zimamoto.

Itakuwa ni fair sana hao jamaa wakipewa ajira.
Serikali yetu sikivu sana,
Tena inajali na kuthamini jamii yake
Hivyo Kijana mzalendo na wenzie watapewa kinachowastahili
Kwa kile walichofanya.
 
Nasikia serikali imempa kiongozi wa waokoaji 1m. Ingependeza, kama anataka apewe kazi zimamoto na uokoaji.

Yeye na wenzake waliopambana kwaajili ya maisha ya watanzania wenzao. Ufaransa kuna kijana muhamiaji alipambana kwenda kumuokoa mtoto aliyekuwa karibu kuanguka ghorofani, zawadi yake alipewa kazi zimamoto.

Itakuwa ni fair sana hao jamaa wakipewa ajira.
Yaa kama wakikubali lakini. Manake unaweza kuta huko ziwani wanapata pesa mingi kulinganisha na mshahara wa zimamoto
 
Achana na kuwapa kazi au pesa kama shukrani na kutambua juhudi zao. Hata kuwatangaza tu kwenye vyombo vya habari watapigwa stop waandishi bali habari zote ziwe za pm na mkuu wa mkoa.

Wakiwapa chochote tu hao watu ni bahati sana kwa hii nchi yetu yenye viongozi wapenda headlines.
Serikali dhalimu ya ccm imeua kwa makusudi wananchi wake 19.
 
SINA HAKIKA KAMA KAPEWA PESA TASLIMU, NA KAPEWA NA NANI?
UNAWEZA KUJA SIKIA KWENYE REPOTI YA CAG YA MWAKANI, YULE KIJANA ALIPEWA 23,800 TU.
FEDHA NYINGINE HAZIONEKANI,NA KAMATI YA KUCHUNGUZA PESA ITAUNDWA.
 
SINA HAKIKA KAMA KAPEWA PESA TASLIMU, NA KAPEWA NA NANI?
UNAWEZA KUJA SIKIA KWENYE REPOTI YA CAG YA MWAKANI, YULE KIJANA ALIPEWA 23,800 TU.
FEDHA NYINGINE HAZIONEKANI,NA KAMATI YA KUCHUNGUZA PESA ITAUNDWA.
Wabongo hawachelewi.
 
Back
Top Bottom