Mwabukusi afungua kesi kupinga maamuzi ya Kamati ya Rufaa ya TLS kumuengua kugombea Urais wa TLS

Mwabukusi afungua kesi kupinga maamuzi ya Kamati ya Rufaa ya TLS kumuengua kugombea Urais wa TLS

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakili Boniface Mwabukusi amefungua kesi kupinga maamuzi ya Kamati ya Rufaa ya Chama cha Tanganyika Law Society (TLS) kumuengua kugombea Urais wa TLS.




Pia soma: Kamati ya Rufaa ya Uchaguzi imemuengua Boniface Mwabukusi kugombea nafasi ya Rais wa TLS

Ikumbukwe Mwabukusi alifikishwa kwenye Kamati ya Maadili na kupewa onyo baada ya kushtakiwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa kile kinachodaiwa ni utovu wa nidhamu.

Kulewa taaifa hii kwa undani soma: Wakili Mwabukusi Apewa Onyo na Kamati ya Mawakili ya Maadili 'Hatutakiwi Kuogopa'

Pia soma: Mawakili wa serikali waomba wawe sehemu ya wajibu maombi katika kesi ya Mwabukusi dhidi ya TLS

UPDATE

- Mahakama yaridhia Wakili Mwabukusi afungue kesi ya kupinga kuenguliwa kuwania Urais TLS
 
Haki ya kuchaguliwa ni haki ya asili ambayo haitakiwi kuondolewa kwa sababu yoyote ile, kama hana maadili wapigakura wataeema hilo kupitia sanduku la kura
 
Wakili Boniface Mwabukusi amefungua kesi kupinga maamuzi ya Kamati ya Rufaa ya Chama cha Tanganyika Law Society (TLS) kumuengua kugombea Urais wa TLS.



Pia soma: Kamati ya Rufaa ya Uchaguzi imemuengua Boniface Mwabukusi kugombea nafasi ya Rais wa TLS

Ikumbukwe Mwabukusi alifikishwa kwenye Kamati ya Maadili na kupewa onyo baada ya kushtakiwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa kile kinachodaiwa ni utovu wa nidhamu.

Kulewa taaifa hii kwa undani soma: Wakili Mwabukusi Apewa Onyo na Kamati ya Mawakili ya Maadili 'Hatutakiwi Kuogopa'
watovu wa kimaadili huwa ni wabishi, jeuri na wenye kiburi hatari sijui kwanini yaani,?🐒
 
H
Wakili Boniface Mwabukusi amefungua kesi kupinga maamuzi ya Kamati ya Rufaa ya Chama cha Tanganyika Law Society (TLS) kumuengua kugombea Urais wa TLS.



Pia soma: Kamati ya Rufaa ya Uchaguzi imemuengua Boniface Mwabukusi kugombea nafasi ya Rais wa TLS

Ikumbukwe Mwabukusi alifikishwa kwenye Kamati ya Maadili na kupewa onyo baada ya kushtakiwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa kile kinachodaiwa ni utovu wa nidhamu.

Kulewa taaifa hii kwa undani soma: Wakili Mwabukusi Apewa Onyo na Kamati ya Mawakili ya Maadili 'Hatutakiwi Kuogopa'
Hivi Mwabukusi naye ni wakili? Mbona ana gpa ya 2.7. hiyo competence aliigoa wapi wakati alikuwa kilaza darasani
 
Back
Top Bottom