Mwabukusi afungua kesi kupinga maamuzi ya Kamati ya Rufaa ya TLS kumuengua kugombea Urais wa TLS

Mwabukusi afungua kesi kupinga maamuzi ya Kamati ya Rufaa ya TLS kumuengua kugombea Urais wa TLS

Wakili Boniface Mwabukusi amefungua kesi kupinga maamuzi ya Kamati ya Rufaa ya Chama cha Tanganyika Law Society (TLS) kumuengua kugombea Urais wa TLS.



Pia soma: Kamati ya Rufaa ya Uchaguzi imemuengua Boniface Mwabukusi kugombea nafasi ya Rais wa TLS

Ikumbukwe Mwabukusi alifikishwa kwenye Kamati ya Maadili na kupewa onyo baada ya kushtakiwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa kile kinachodaiwa ni utovu wa nidhamu.

Kulewa taaifa hii kwa undani soma: Wakili Mwabukusi Apewa Onyo na Kamati ya Mawakili ya Maadili 'Hatutakiwi Kuogopa'
Ni vyema na Haki!


"The right cannot be given as a gift by the oppressor, it must be demanded by the oppressed."

Martin Luther King Jr.
 
Kuna wazee kama wewe ni hasara sana kwa taifa.
Ok,vijana msikubali kuendelea kuchaguliwa viongozi na wazee .
Muda wao umeshapita.
Hawawezi kupigania taifa hili hata likivamiwa leo.
Wanaoumia na umaskini ni vijana.
Wazee kwa sasa wamekalia ulevi na umalaxa tu kwa sababu ya wizi wa mali za umma.

Wazee enzi zao hawakuwa na Kikokotoo.
Wazee enzi zao hawakuwa na kodi ya chumba kwenye umeme na maji na mafuta.

Kiufupi wazee wanaichagua CCM wakidhani Rais bado ni Nyerere.
Hawa hawatakiwi kuwa hata na kitambulisho cha mpiga kura lakini cha ajabu wanapewa mpaka pikipiki za kununua wapiga kura na kuirudisha CCM madarakani..


Vijana amkeni kumekullP Okcha . Mtakuja kuwa watumwa wa wahalifu waliopaswa kuwa gerezani.
 
Jamaa mroho wa madaraka, maisha yamemchenga anakomaa akaibe hela za TLS. Kamati ya Rufaa ikaliona hilo, ikamkata
Ni aibu kwa Taasisi ya kisheria kuonyesha mfano mbaya sana wa kidemokrasia.

Hili ndilo tatizo la kuwa na mawakili wa Mwendokasi ambao hawakusoma masomo ya dini kule mashuleni.

Mandela alifungwa miaka 27 lakini ni kati ya karaisi bora kabisa Duniani.


Kwa sasa tulitegemea TLS ijivunie kuwa na Wakili wa aina ya Mwabukusi anayesimama na kuwaonyesha wanasiasa uovu na mapungufu yao kisheria na sio kuwasifia na kuwaogopa wezi.

Wanasiasa wa Afrika wanajiona kuwa Rasilimali zote ni mali zao na watoto wao. Wanatumia rasilimali za umma kufifisha uzalendo na haki za watu kwa manufaa yao na mawakala wao toka nje.


Kenya wanasiasa wamejificha baada ya vijana kuchachamaa kudai nchi yao iwe na haki sawa kwa wote katika mgawanyo wa Keki ya Taifa.

Kama nchi inauzwa halafu chama cha mawakili kipo ,kina maana gani kwa wananchi ?

Miswada ya kuwalinda wezi kama akina Bashe inapelekwa bungeni TLS imekaa kimya sasa hicho ni chama gani? Kimekuwa kama CWT na vyama mfu vya wafanyakazi.

Wanasiasa wanaogelea kwenye pesa za wizi huku kodi zikipandishwa.
Badala ya Mkuu wa nchi kusafiri na watumishi wa umma kama walimu madaktari , manesi, Mapolisi wa chini na magereza ili wakajifunze jinsi wenzao wanavyotoa huduma bora kwa watu wao badala yake anasafiri na kundi la kumpigia kampeni kwenye uchaguzi . Anajali cheo chake na sio taifa. TLS wapo kimya hawana hata ushauri kama taasisi ya kisheria.

Mpaka karne hii tunachaguliwa kiongozi mkubwa kama Naibu Waziri mkuu ambaye hayupo kikatiba na hakuna hata mwongozo na sifa za kumpata . Mtu anachaguliwa kama shukrani ya kuwezesha uuzwaji wa ardhi yenye madini kwa wageni. TLS imelala doro.

Waziri mkuu anapitishwa na Bunge kama msimamizi mkuu wa shughuli za Serikali lakini cha ajabu analetwa Waziri mkuu kivuli na wa mchongo na kufanya kazi zisizo zake kisheria na Kikatiba. Waziri mkuu kivuli wa chama tawala anapewa jina lisilokiwepo katika katiba yetu la Naibu waziri mkuu. TLS wapo kimya hawakujitokeza hata kushauri.

Vyedha za umma zinatumika kuendesha ofisi za mchongo na vyeo vya madili na michongo huku kodi zikopanda juu na wafanyabiashara na Wafanyakazi na wakulima wakiumizwa na bei na tozo . TLS kimya.

TLS haina maana yoyote zaidi ya kuwa ni kichaka cha Watu kupata ofisi na posho za kujipendekeza kwa watawala na kupata teuzi na sifa binafsi.


TLS mmeonyesha mfano mbaya sana wa kulijenga Taifa lenye kuheshimu Demokrasia, Haki,usawa,uwajibikaji,utu,nidhamu kwa watumishi kwa umma na utawala unaozingatia sheria.

Tunapinga kwa nguvu zote kuona taasisi ya sheria inageuka kuwa Taasisi " Chawa."

Kama Mwabukusi hafai basi tuone kwenye sanduku la wapiga kura na sio kuengua jina lake. Hizo ni mbinu za kishetani za CCM zinazoligharimu taifa hili takatifu lisilofungamana na upande wa madhalimu .

Huyo mgombea anayedhani kuwa anakubalika na ana sifa njema zaidi ya Mwabukusi basi ni nafasi yake kuwaambia wajumbe sifa zake kwenye kampeni. Na hayo mapungufu ya Mshindani wake ndiyo faida na ushindi kwake.

TLS kitakua ni chombo cha mwisho kabisa kuzika Demokrasia na kuua kabisa ndoto ya watanzania kuwapata viongozi wazalendo.
Rushwa na matumizi mabaya ya fedha kimewafanya watumishi wengi wa Taasisi huru kuwa walamba viatu wa watwala wanaotumia fedha kuwap9 umma kamale fedha za mifukoni mwao kuwainamisha na kuwapigisha magoti na kuwafanya ombaomba.
Hata taasisi za dini nazo ni hivyo hivyo mabilioni ya Sadaka yanatoka lakini hazina tija kwa waumini badala yake wanalialia kuhusu misamaha ya Kodi wakati sadaka hawazitumii kufanya miradi na kuunda taasisi kubwa za kifedha zenye kuwezesha waimini wao kujitoa kwenye taasisi za kinyonyaji.
Yote ni sababu ya kuwa na viongozi machawa wa Wanasiasa hasa wa Chama Tawala kwa lengo la kupaka rangi nzuri uovu wao na kumtukuza shetani na fahari zake .
 
Ni aibu kwa Taasisi ya kisheria kuonyesha mfano mbaya sana wa kidemokrasia.

Hili ndilo tatizo la kuwa na mawakili wa Mwendokasi ambao hawakusoma masomo ya dini kule mashuleni.

Mandela alifungwa miaka 27 lakini ni kati ya karaisi bora kabisa Duniani.


Kwa sasa tulitegemea TLS ijivunie kuwa na Wakili wa aina ya Mwabukusi anayesimama na kuwaonyesha wanasiasa uovu na mapungufu yao kisheria na sio kuwasifia na kuwaogopa wezi.

Wanasiasa wa Afrika wanajiona kuwa Rasilimali zote ni mali zao na watoto wao. Wanatumia rasilimali za umma kufifisha uzalendo na haki za watu kwa manufaa yao na mawakala wao toka nje.


Kenya wanasiasa wamejificha baada ya vijana kuchachamaa kudai nchi yao iwe na haki sawa kwa wote katika mgawanyo wa Keki ya Taifa.

Kama nchi inauzwa halafu chama cha mawakili kipo ,kina maana gani kwa wananchi ?

Miswada ya kuwalinda wezi kama akina Bashe inapelekwa bungeni TLS imekaa kimya sasa hicho ni chama gani? Kimekuwa kama CWT na vyama mfu vya wafanyakazi.

Wanasiasa wanaogelea kwenye pesa za wizi huku kodi zikipandishwa.
Badala ya Mkuu wa nchi kusafiri na watumishi wa umma kama walimu madaktari , manesi, Mapolisi wa chini na magereza ili wakajifunze jinsi wenzao wanavyotoa huduma bora kwa watu wao badala yake anasafiri na kundi la kumpigia kampeni kwenye uchaguzi . Anajali cheo chake na sio taifa. TLS wapo kimya hawana hata ushauri kama taasisi ya kisheria.

Mpaka karne hii tunachaguliwa kiongozi mkubwa kama Naibu Waziri mkuu ambaye hayupo kikatiba na hakuna hata mwongozo na sifa za kumpata . Mtu anachaguliwa kama shukrani ya kuwezesha uuzwaji wa ardhi yenye madini kwa wageni. TLS imelala doro.

Waziri mkuu anapitishwa na Bunge kama msimamizi mkuu wa shughuli za Serikali lakini cha ajabu analetwa Waziri mkuu kivuli na wa mchongo na kufanya kazi zisizo zake kisheria na Kikatiba. Waziri mkuu kivuli wa chama tawala anapewa jina lisilokiwepo katika katiba yetu la Naibu waziri mkuu. TLS wapo kimya hawakujitokeza hata kushauri.

Vyedha za umma zinatumika kuendesha ofisi za mchongo na vyeo vya madili na michongo huku kodi zikopanda juu na wafanyabiashara na Wafanyakazi na wakulima wakiumizwa na bei na tozo . TLS kimya.

TLS haina maana yoyote zaidi ya kuwa ni kichaka cha Watu kupata ofisi na posho za kujipendekeza kwa watawala na kupata teuzi na sifa binafsi.


TLS mmeonyesha mfano mbaya sana wa kulijenga Taifa lenye kuheshimu Demokrasia, Haki,usawa,uwajibikaji,utu,nidhamu kwa watumishi kwa umma na utawala unaozingatia sheria.

Tunapinga kwa nguvu zote kuona taasisi ya sheria inageuka kuwa Taasisi " Chawa."

Kama Mwabukusi hafai basi tuone kwenye sanduku la wapiga kura na sio kuengua jina lake. Hizo ni mbinu za kishetani za CCM zinazoligharimu taifa hili takatifu lisilofungamana na upande wa madhalimu .

Huyo mgombea anayedhani kuwa anakubalika na ana sifa njema zaidi ya Mwabukusi basi ni nafasi yake kuwaambia wajumbe sifa zake kwenye kampeni. Na hayo mapungufu ya Mshindani wake ndiyo faida na ushindi kwake.

TLS kitakua ni chombo cha mwisho kabisa kuzika Demokrasia na kuua kabisa ndoto ya watanzania kuwapata viongozi wazalendo.
Rushwa na matumizi mabaya ya fedha kimewafanya watumishi wengi wa Taasisi huru kuwa walamba viatu wa watwala wanaotumia fedha kuwap9 umma kamale fedha za mifukoni mwao kuwainamisha na kuwapigisha magoti na kuwafanya ombaomba.
Hata taasisi za dini nazo ni hivyo hivyo mabilioni ya Sadaka yanatoka lakini hazina tija kwa waumini badala yake wanalialia kuhusu misamaha ya Kodi wakati sadaka hawazitumii kufanya miradi na kuunda taasisi kubwa za kifedha zenye kuwezesha waimini wao kujitoa kwenye taasisi za kinyonyaji.
Yote ni sababu ya kuwa na viongozi machawa wa Wanasiasa hasa wa Chama Tawala kwa lengo la kupaka rangi nzuri uovu wao na kumtukuza shetani na fahari zake .
Proffessional society haiendeshwi kwa mihemuko
 
Mimi kamanda, sio chawa
Acha kutetea utawala wenye dhuluma kwa kujificha kwenye kauli eti wametoa uhuru kwa kila mtu kusema au kutenda bila bughudha wakati sheria zinavunjwa halafu watu kama ninyi mnajitokeza bila aibu kusifia ujinga. Wewe na choicevariable kuna mahali hamko sawa ama hamjawahi kuishi maisha ya mwananchi duni.
 
Proffessional society haiendeshwi kwa mihemuko
sio kwa Afrika.

Afrika bado kuna unyani .
Waafrika wana tabia zinazokaribiana zaidi na nyani kumliko binadamu wengine.

Ukiangalia jinsi nyani wanavyowanyang'anya watoto wao chakula utaona kuwa tabia zao ni za ubinafsi lkubwa kama waafrika.

Elimu tumiyoletewa na wazungu ni kitanzi kikubwa cha kuwamaliza waafrika.

Yaani elimu iliingia Tanganyika karne ya kumi na tisa na nchi zetu hazina hata liaka 100 ya uhuru lakini Wasomi wameonyesha mfano mbaya sana kuliko hata wakoloni ambao hawakua ndugu zetu.
 
Hizi ndio Taarifa nilizopata baada ya kutoka Ibadani kwenye Morning Glory au Masifu ya asubuhi

Kama ni kweli basi hiyo Kesi itakuwa tamu mno 😀

Mungu wa mbinguni awabariki sana
 
Wakili Boniface Mwabukusi amefungua kesi kupinga maamuzi ya Kamati ya Rufaa ya Chama cha Tanganyika Law Society (TLS) kumuengua kugombea Urais wa TLS.



Pia soma: Kamati ya Rufaa ya Uchaguzi imemuengua Boniface Mwabukusi kugombea nafasi ya Rais wa TLS

Ikumbukwe Mwabukusi alifikishwa kwenye Kamati ya Maadili na kupewa onyo baada ya kushtakiwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa kile kinachodaiwa ni utovu wa nidhamu.

Kulewa taaifa hii kwa undani soma: Wakili Mwabukusi Apewa Onyo na Kamati ya Mawakili ya Maadili 'Hatutakiwi Kuogopa'

Pia soma: Mawakili wa serikali waomba wawe sehemu ya wajibu maombi katika kesi ya Mwabukusi dhidi ya TLS

UPDATE
- Mahakama yaridhia Wakili Mwabukusi afungue kesi ya kupinga kuenguliwa kuwania Urais TLS
Ngoja tuone mwisho wake
 
Back
Top Bottom