Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Sasa si anailekeza serikali namna sahihi ya kwenda na maamuzi yake kisheriaπ€£ lini kumshauri mtu kufuata katiba ilikuwa kiburi?πππ! Ikumbukwe tu kuwa jamaa sio chawa kama weweakileta kiburi, jeuri na mapambano dhidi ya serikali badala ya kushauriana nayo namna bora ya kutetea haki na kufikia muafaka wa haki katika mambo mbalimbali yenye maslahi mapana ya waTanzania wote, anaweza kujikuta anaongoza miezi sita tu kipindi kilichobaki akiwa nje ya uongozi kwa labda kunyang'anywa sifa za uongozi kwasabb za kimaadili au utovu wa nidhamu
binafsi sijasema kuna mtu katoka nje ya mstari,
ni mapema mno...
nimetoa tu angalizo na ushauri wa kitaalamu kwa Boss mpya wa TLS kufanikiwa,
binafsi I want to see a very powerful TLS in Tz, I want to see vibrant TLS inTz, I want to see East African people talking about professionalism in TLS etc...
mengine yatakua hisia mseto tu za wanguwana π