Huu ni wito wa tahadhali kabla ya hatari. Beberu akiuita "security alert."
Hali ya hewa imebadika, matumaini ya watanzania yaliyokuwa yamefifia mno, hatimaye ghafla yamefufuka.
Mungu atupe nini Ya-Rabi sisi?
Zama zile zilizokuwa zimepotea, ghafla zimerejea. Tena si kitoto, bali kwa mwelekeo ulio mwema zaidi. Tabasamu na hata morali ya washirika, ni zile zenye kumtetemesha
adui akatambua wazi kuwa kujifanya kiziwi, siyo dili tena!
"Kwamba kwa mara nyingine, zile enzi zetu za M*ndonga mtu kazi, kumdunda mtu kama ngoma zimerejea?" Enzi zile za kheri za kuukataa utwana. Enzi za kina Kinjekitile, Mkwawa, Mtikila na kina Nyerere!
Nani alisema mtanzania ni mwoga (coward)?
"Upinzani - walio waoga (cowards) si Wafuasi"
Ya nini kuandikia mate? Waoga wako hapa:
"Tusilaumiane: Wako wapi kina Nyerere, Maalim Seif, Mtikila, Julius Malema au kina Tutu"
"Utukufu na sifa vyote vimrejee yeye aliyejuu. Mwenye kutupenda mno sisi kama waja wake. Aliyetukumbuka hatimaye na kutotoa katika lindi la kiza"
Hata hivyo si ajabu jambo jema kutopokelewa vyema na wote. Hutokea wakati yakazuka makundi na hali ikawa hata siyo.
Hala hala mti na macho:
"Dkt. Slaa, Mwabukusi, Mdude na vigogo Sauti ya Watanzania lulu ya leo ya watanzania, ulinzi uimarishwe."
Posts #2, 3, 4 zinakazia hitaji hili la dharura mno kwa watu lulu kama hawa.
Mungu uwalinde majemedali wetu Mwabukusi, DKt. Slaa na Mdude. Ukawapatie afya njema na maisha marefu. Ukawawezeshe kuiona Tanzania njema ya ndoto zetu sasa.
Mungu ibariki "Sauti ya Watanzania."
Hali ya hewa imebadika, matumaini ya watanzania yaliyokuwa yamefifia mno, hatimaye ghafla yamefufuka.
Mungu atupe nini Ya-Rabi sisi?
Zama zile zilizokuwa zimepotea, ghafla zimerejea. Tena si kitoto, bali kwa mwelekeo ulio mwema zaidi. Tabasamu na hata morali ya washirika, ni zile zenye kumtetemesha
adui akatambua wazi kuwa kujifanya kiziwi, siyo dili tena!
"Kwamba kwa mara nyingine, zile enzi zetu za M*ndonga mtu kazi, kumdunda mtu kama ngoma zimerejea?" Enzi zile za kheri za kuukataa utwana. Enzi za kina Kinjekitile, Mkwawa, Mtikila na kina Nyerere!
Nani alisema mtanzania ni mwoga (coward)?
"Upinzani - walio waoga (cowards) si Wafuasi"
Ya nini kuandikia mate? Waoga wako hapa:
"Tusilaumiane: Wako wapi kina Nyerere, Maalim Seif, Mtikila, Julius Malema au kina Tutu"
"Utukufu na sifa vyote vimrejee yeye aliyejuu. Mwenye kutupenda mno sisi kama waja wake. Aliyetukumbuka hatimaye na kutotoa katika lindi la kiza"
Hata hivyo si ajabu jambo jema kutopokelewa vyema na wote. Hutokea wakati yakazuka makundi na hali ikawa hata siyo.
Hala hala mti na macho:
"Dkt. Slaa, Mwabukusi, Mdude na vigogo Sauti ya Watanzania lulu ya leo ya watanzania, ulinzi uimarishwe."
Posts #2, 3, 4 zinakazia hitaji hili la dharura mno kwa watu lulu kama hawa.
Mungu uwalinde majemedali wetu Mwabukusi, DKt. Slaa na Mdude. Ukawapatie afya njema na maisha marefu. Ukawawezeshe kuiona Tanzania njema ya ndoto zetu sasa.
Mungu ibariki "Sauti ya Watanzania."