Mwabukusi ni Pandikizi la CCM? Ndiye mvurugaji mkuu wa Demokrasia!

Mwabukusi ni Pandikizi la CCM? Ndiye mvurugaji mkuu wa Demokrasia!

Chadema walipokua na operation okoa bandari alikataa kusiriki akitaka naye afanye yake "parallel" na kwamba chadema ndio waache ziara ya kanda ya ziwa ili waende kwenye mikutano yake kwa kutumia resources za chadema kama magari, majukwaa, chopper!! What the hell?

Speak when necessary ndio unatunza value yako kwamba ukiongea una material. Sasa agenda ya bandari wabongo wameshaisahau yeye anageukia kutukana kina Mbowe kisa kupokea michango ya Rais kanisani as if Mbowe ni kiongozi wa KKKT?? Hatuwezi jenga upinzani kwa kubomoana tutakuwa na utitiri wa vyama huku CCM ikinawili tu.

Ukweli upi mnafiki huyu, kipindi yupo NCCR chadema walisusia vikao vya TCD ila yeye akiwa wakili wa chama alikua anaenda na Mbatia huku wakitusi chadema kwa kususa!! Baada ya mgogoro akawa hana chama baadaya kutimuliwa na kina Selasini sasa kwenye kutapatapa ndio mnahisi ni mzalendo sijui anaongea ukweli? If that's the case tuambie kabla ya kutimuliwa NCCR uliwahi msikia akimpinga JPM, kupinga uchaguzi wa 2020 au manyanyaso ya wapinzani 2016-2020?
Wewe unakubaligi kila mzalendo uchwara wanaofoka baada ya kukosa uongozi!!, si hadi Mpina ulikua unampamba ni mzalendo sahivi kahaaidiwa cheo kimyaaaaa haropoki tena. Huyu akiteuliwa na Samia hutoamini atakavyokana katiba mpya.
Huyu jamaa huwa ni mnafki,huwa mara nyingi huwa anajifanya mpinzani lakini mara nyingi kazi yake ni kuunga mkono wanaotukana CHADEMA na kujifanya wao ndiyo wapinzani wa kweli
Mtu kama huyu ni Hatari zaidi ya huyo Mwabukusi
Hajui hata kuwa tunamjua huyo Mwabukusi nje ndani na kilichomtoa CHADEMA
 
Sasa ndugu upinzani gani kila siku, hauwezi kuitoa CCM kwenye urais. M nataka tu ubunge, ili mkapate pesa. Hamtaki katiba mpya. Huo ni ujinga. Tutafute katiba mpya tu. Achana na ubunge na ruzuku, hav itawasaidia watanzania. Huyu Mwabukusi yupo sahihi.

Upinzani gani hautaki Urais?. Tuache unafiki. Halafu kuhusu katiba Mpya, mbona CHADEMA wamelipigia kelele
 
Huyu jamaa huwa ni mnafki,huwa mara nyingi huwa anajifanya mpinzani lakini mara nyingi kazi yake ni kuunga mkono wanaotukana CHADEMA na kujifanya wao ndiyo wapinzani wa kweli
Mtu kama huyu ni Hatari zaidi ya huyo Mwabukusi
Hajui hata kuwa tunamjua huyo Mwabukusi nje ndani na kilichomtoa CHADEMA
Unamzungumzia nani hapa hata hueleweki.

Kama unanizungumzia mimi, ujue nilishavuka huo mstari wa siasa za kitoto mnazoimba hapa, nikiona baya popote nalisema, nyie ni madikteta msiojitambua, hamtaki kukosolewa lakini mnataka kwenda ikulu, mkifika huko ikulu mtakuwa madikteta wabaya sana msiomsikiliza yeyote.

Mko na upeo wa kifikra unaofanana, sijui mlisomea shule moja!

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Utamkubalije Mwabukusi anaye ushambulia upinzani kila siku especially CHADEMA?. Siku akiunga mkono CCM utafanyaje?. Maana hawatabiliki Hawa watu.
Nani aliwaambia Chadema ni malaika wasikosolewe? akiunga mkono CCM ni juu yake, kwani wangapi wameshakwenda huko kisha Chadema ikapoteza nini?! Uoga wenu tu.

Hii mindset yenu mnaamini itawapeleka ikulu? ili mkawe madikteta mkifika huko?

Nyie watu tokeni nje ya hilo box mlilojificha, msiendelee kujidanganya kwa ujinga wenu mkajiona mko sahihi, simply because ujinga wenu uko na support kubwa.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Kumbuka Mnyika na Mbowe wako chama kimoja, hawa wana namna yao ya kumaliza mambo yao, unataka Adv. Mwabukusi akaombe ruhusa ya kuhudhuria vikao vya Chadema ili ayasemee huko?

- What is kugawa kura za Chadema? Uoga tu usiokuwa na maana.

Halafu hivi unajua hiki unachopigania, kufichiana maovu ya upinzani ni utoto, uchanga kabisa kwenye siasa, mkiwa na tabia hiyo mkaingia madarakani mtaweza kumsikiliza anayewakosoa?

Hujui unachoandika hapa. Adv. Mwabukusi is the best kwa wakati huu.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Mwabukusi hajawahi kuwa the best,una mahaba na wavurugaji sana we mtu, Mwabukusi ni zao la tamaa ya Madaraka, anapiga kelele kwa tamaa hiyo hiyo,yeye na Mbatia walikaa kimya baada ya kuahidiwa ubunge Busokelo na Magufuli,baada ya kugombana huko NCCR ndiyo anajifanya kutaka kuegamia CHADEMA na CHADEMA wampe bega wakati aliondoka baada ya kukosa umakamu mwenyekiti wa kanda ya Nyasa, baki na mahaba yako lakini huna uhalali wa kutuambia Mwabukusi anafaa kuungwa mkono, huyo jamaako no opportunist
 
Nani aliwaambia Chadema ni malaika wasikosolewe? akiunga mkono CCM ni juu yake, kwani wangapi wameshakwenda huko kisha Chadema ikapoteza nini?! Uoga wenu tu.

Hii mindset yenu mnaamini itawapeleka ikulu? ili mkawe madikteta mkifika huko?

Nyie wstu tokeni nje ya hilo box mlilojificha, msiendelee kujidanganya kwa ujinga wenu mkajiona mko sahihi, simply because ujinga wenu uko na support kubwa.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Kijana jenga ACT yako achana na CHADEMA
 

View: https://www.youtube.com/watch?v=rm8wI2pHQ4s

Nimemsikiliza Boniphace Mwabukusi, nimegundua yafuatayo kutoka kwake na namna akivyo

1. Ni Clip ndefu
2. Nimeisikiliza yote
3. Alianza kuongea vizuri sana
4. Alitulia na kutoa hoja zenye nguvu. Anaamini Muda unatosha kuwa na katiba mpya kabla ya Uchaguzi.
5. Baadae alibadilika kutoka alichokuwa anaongea.
6. Aliegemea mno CHADEMA na anaona kama ndio chama pekee cha Upinzani.
7. Akabadilika tena na kunanga CCM waliomtuma akawa anawasilisha anayoyataka yeye
9. Ana uwezo mkubwa wa kujenga Hoja, ila hajui kusimamia hoja.
10. Mwishoni hajatoa nafasi kabisa (room) kuwa kuna watu wanaweza kuwa na mtazamo tofauti.
11. Anaamini Katiba ya Warioba na ile pendekezwa ni njia pekee ya kutoka.
12. Nadhani ni vzr akajua NA SISI TUPO N.A TUNA MAWAZO TOFAUTI
13. Pia si vzr kutoa vitisho kuwa ataua mtu akiibiwa kura anaweza kufa yeye maana kifo ni haki ya Mungu pekee.



Mbinu mojawapo inayotumiwa na vyama vilivyo madarakani kushinda uchaguzi unaofuata ni kuandaa watu wao kwa kuwavisha joho la upinzani. Miaka kabla ya uchaguzi, watatiwa misukosuko mingi ili waonekane kweli ni wapinzani. Wataonekana kupingana na serikali na hata kushtakiwa. Wakishaingia kwenye kinyanganyiro cha uchaguzi kupitia upinzani, basi lengo linakuwa limetimia.

Watavuruga mikutano na uchaguzi ndani kwa ndani . Hawa wapo kuanzia ngazi ya kata hadi ngazi za juu kabisa. Tumeyaona haya katika kila uchaguzi kuanzia kuhalalishwa sera ya vyama vingi.


Cha kushangaza na kusikitisha ni kwamba upinzani haujataka kujifunza. Turejee tu historia ya vyama vyote vya upinzani, tutaona vurugu zinazotokana na wafuasi wa chama tawala kuingia upinzani na kurejea kwenye chama chao baada ya uchaguzi.

Jambo hili linajirudia rudia kama mzunguko wa dunia kwenye jua. Msaliti hapashwi kukubalika hata mara moja. Kwa bahati mbaya vyama vya upinzani vimejaza watu wanaobeba bendera zao lakini kimsingi wako upande mwingine. Wataingia wengi kwenye uchaguzi kuwakilisha upinzani, lakini lengo lao ni kuhakikisha chama tawala kinashinda. Kwa mwenendo huu, upinzani hautaweza kutoboa

ata akigombea serikali za mitaa hashindi ng'oo 🐒
 
Mwabukusi hajawahi kuwa the best,una mahaba na wavurugaji sana we mtu, Mwabukusi ni zao la tamaa ya Madaraka, anapiga kelele kwa tamaa hiyo hiyo,yeye na Mbatia walikaa kimya baada ya kuahidiwa ubunge Busokelo na Magufuli,baada ya kugombana huko NCCR ndiyo anajifanya kutaka kuegamia CHADEMA na CHADEMA wampe bega wakati aliondoka baada ya kukosa umakamu mwenyekiti wa kanda ya Nyasa, baki na mahaba yako lakini huna uhalali wa kutuambia Mwabukusi anafaa kuungwa mkono, huyo jamaako no opportunist
Sioni hoja yako, ni hisia tupu umejaza kichwani dhidi yake kama wenzako, mnatetemeka na siasa zenu za kioga.

Adv. Mwabukusi is the best, kama hujafika level ya kumuelewa ujue wewe bado ni mchanga sana kifikra.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Unamzungumzia nani hapa hata hueleweki.

Kama unanizungumzia mimi, ujue nilishavuka huo mstari wa siasa za kitoto mnazoimba hapa, nikiona baya popote nalisema, nyie ni madikteta msiojitambua, hamtaki kukosolewa lakini mnataka kwenda ikulu, mkifika huko ikulu mtakuwa madikteta wabaya sana msiomsikiliza yeyote.

Mko na upeo wa kifikra unaofanana, sijui mlisomea shule moja!

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app

Sawa tumekusikia. Ila CHADEMA itabakia hata Mwabukusi aishambulie kiasi gani.
 
Sawa tumekusikia. Ila CHADEMA itabakia hata Mwabukusi aishambulie kiasi gani.
Mnaongoza kundi la wafuasi laini wa upinzani, linaloogopa kukosoana kisa litapoteza kura, very funny!

Hizo kura za kuhamishwa kwa kauli ya mtu mmoja ni fake, hazina mizizi, wake up na wenzako muwe na imani, sio kuishi kwa hofu za kitoto.

Akitokea mtu kuwakosoa mnamuona adui hafai, wow!.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Unamzungumzia nani hapa hata hueleweki.

Kama unanizungumzia mimi, ujue nilishavuka huo mstari wa siasa za kitoto mnazoimba hapa, nikiona baya popote nalisema, nyie ni madikteta msiojitambua, hamtaki kukosolewa lakini mnataka kwenda ikulu, mkifika huko ikulu mtakuwa madikteta wabaya sana msiomsikiliza yeyote.

Mko na upeo wa kifikra unaofanana, sijui mlisomea shule moja!

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Acha ushamba bwana hakunaga kitu kama kuvuka siasa za kitoto, siasa ni itikadi kama itikadi yangu haiendani na Mwabukusi huwezi kunilazimisha nimuunge mkono eti kisa kuonesha Maturity,siasa siyo suala la maturity ni suala la unaamini nini na huamini nini,kujifanya umevuka aina hizi za siasa ni dalili za kujiuza ili uonekane na wagawa vyeo.
 
Ila Mwabukusi atachuja muda sio mrefu. Maana baadala ya kuunganisha nguvu anawaponda CHADEMA, wakati yeye juzi tu hapa alikuwa rafiki wa CCM na wakahaidiwa majimbo kabla upepo haujabadilika.
 
Mnaongoza kundi la wafuasi laini wa upinzani, linaloogopa kukosoana kisa litapoteza kura, very funny!

Hizo kura za kuhamishwa kwa kauli ya mtu mmoja ni fake, hazina mizizi, wake up na wenzako muwe na imani, sio kuishi kwa hofu za kitoto.

Akitokea mtu kuwakosoa mnamuona adui hafai, wow!.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app

Mbona kukosoana kupo?. Mbona Mbowe tulimkosoa mpaka akalalamika hadharani. Lakini kitendo Cha Mwabukusi kuwashambulia wapinzani hasa CHADEMA kuliko CCM kunatia shaka Sana. Yani anayewin ni CCM.

Huyo Mwabukusi aliitisha maanadamano Mbeya yakashindikana , nani alimlaumu?. Aanzishe chama chake tuone alicholenga Kama sio uchawa kwa CCM .
 

View: https://www.youtube.com/watch?v=rm8wI2pHQ4s

Nimemsikiliza Boniphace Mwabukusi, nimegundua yafuatayo kutoka kwake na namna akivyo

1. Ni Clip ndefu
2. Nimeisikiliza yote
3. Alianza kuongea vizuri sana
4. Alitulia na kutoa hoja zenye nguvu. Anaamini Muda unatosha kuwa na katiba mpya kabla ya Uchaguzi.
5. Baadae alibadilika kutoka alichokuwa anaongea.
6. Aliegemea mno CHADEMA na anaona kama ndio chama pekee cha Upinzani.
7. Akabadilika tena na kunanga CCM waliomtuma akawa anawasilisha anayoyataka yeye
9. Ana uwezo mkubwa wa kujenga Hoja, ila hajui kusimamia hoja.
10. Mwishoni hajatoa nafasi kabisa (room) kuwa kuna watu wanaweza kuwa na mtazamo tofauti.
11. Anaamini Katiba ya Warioba na ile pendekezwa ni njia pekee ya kutoka.
12. Nadhani ni vzr akajua NA SISI TUPO N.A TUNA MAWAZO TOFAUTI
13. Pia si vzr kutoa vitisho kuwa ataua mtu akiibiwa kura anaweza kufa yeye maana kifo ni haki ya Mungu pekee.



Mbinu mojawapo inayotumiwa na vyama vilivyo madarakani kushinda uchaguzi unaofuata ni kuandaa watu wao kwa kuwavisha joho la upinzani. Miaka kabla ya uchaguzi, watatiwa misukosuko mingi ili waonekane kweli ni wapinzani. Wataonekana kupingana na serikali na hata kushtakiwa. Wakishaingia kwenye kinyanganyiro cha uchaguzi kupitia upinzani, basi lengo linakuwa limetimia.

Watavuruga mikutano na uchaguzi ndani kwa ndani . Hawa wapo kuanzia ngazi ya kata hadi ngazi za juu kabisa. Tumeyaona haya katika kila uchaguzi kuanzia kuhalalishwa sera ya vyama vingi.


Cha kushangaza na kusikitisha ni kwamba upinzani haujataka kujifunza. Turejee tu historia ya vyama vyote vya upinzani, tutaona vurugu zinazotokana na wafuasi wa chama tawala kuingia upinzani na kurejea kwenye chama chao baada ya uchaguzi.

Jambo hili linajirudia rudia kama mzunguko wa dunia kwenye jua. Msaliti hapashwi kukubalika hata mara moja. Kwa bahati mbaya vyama vya upinzani vimejaza watu wanaobeba bendera zao lakini kimsingi wako upande mwingine. Wataingia wengi kwenye uchaguzi kuwakilisha upinzani, lakini lengo lao ni kuhakikisha chama tawala kinashinda. Kwa mwenendo huu, upinzani hautaweza kutoboa

Nimecheka namba 13.
 
Sioni hoja yako, ni hisia tupu umejaza kichwani dhidi yake kama wenzako, mnatetemeka na siasa zenu za kioga.

Adv. Mwabukusi is the best, kama hujafika level ya kumuelewa ujue wewe bado ni mchanga sana kifikra.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Mimi ninamjua Mwabukusi, nimekuwa sehemu za kampeni yake kanda ya Nyasa kabla hajahamia NCCR, sitangulizi hisia,naongea kitu ninachokifahamu,Mwabukusi ni msaka fursa
Lakini kama wewe ni make wake siwezi kukupinga maana utakuwa unamjua vizuri zaidi yangu.
 
Back
Top Bottom