Mwabukusi: TLS ni Kiungo wa kuifanya Nchi yetu kushamiri Kiuchumi, Kisiasa na Demokrasia

Mwabukusi: TLS ni Kiungo wa kuifanya Nchi yetu kushamiri Kiuchumi, Kisiasa na Demokrasia

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Ameyasema hayo leo Julai 26/7/2024 baada ya kushinda kesi yake
Baada Mahakama kutengua maamuzi ya Kamati ya Rufani ya TLS, na kumrejesha Wakili Mwabukusi kugombea Urais wa TLS

Hapo awali, Wakili Mwabukusi aliondolewa kwenye mchakato huo ambapo aliamua kufungua shauri la kupinga maamuzi ya Kamati ya Rufani iliyomuengua. Uchaguzi wa Rais wa TLS unatarajiwa kufanyika mapema Agosti, 2024
 
Dah haya bwana Mungu anipe Maisha marefu mm nijionee mengi mm ..natamani ashinde ili nione nn kitafuata baada ya uapisho kama moto huu utawaka utafuka moshi au utazima
 
Katushinda mahakamani sawa lakini kwenye kura tutatumia mbinu za komandoo wetu Mheshimiwa Nape.....
 
Ameyasema hayo leo Julai 26/7/2024 baada ya kushinda kesi yake
Baada Mahakama kutengua maamuzi ya Kamati ya Rufani ya TLS, na kumrejesha Wakili Mwabukusi kugombea Urais wa TLS
Hapo awali, Wakili Mwabukusi aliondolewa kwenye mchakato huo ambapo aliamua kufungua shauri la kupinga maamuzi ya Kamati ya Rufani iliyomuengua. Uchaguzi wa Rais wa TLS unatarajiwa kufanyika mapema Agosti, 2024
View attachment 3052783
CCM wenyenchi hawataki hiyo kwani nchi ikistawi tutakuwa hatuwapigii magoti kuwaomba visima vya maji na mwenge utakosa vya kuzindua.
 
Ameyasema hayo leo Julai 26/7/2024 baada ya kushinda kesi yake
Baada Mahakama kutengua maamuzi ya Kamati ya Rufani ya TLS, na kumrejesha Wakili Mwabukusi kugombea Urais wa TLS
Hapo awali, Wakili Mwabukusi aliondolewa kwenye mchakato huo ambapo aliamua kufungua shauri la kupinga maamuzi ya Kamati ya Rufani iliyomuengua. Uchaguzi wa Rais wa TLS unatarajiwa kufanyika mapema Agosti, 2024
View attachment 3052783
Ana punches zilizoshiba, all the best kwake na mawakili wote.
 
Back
Top Bottom