Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
CCM wenyenchi hawataki hiyo kwani nchi ikistawi tutakuwa hatuwapigii magoti kuwaomba visima vya maji na mwenge utakosa vya kuzindua.Ameyasema hayo leo Julai 26/7/2024 baada ya kushinda kesi yake
Baada Mahakama kutengua maamuzi ya Kamati ya Rufani ya TLS, na kumrejesha Wakili Mwabukusi kugombea Urais wa TLS
Hapo awali, Wakili Mwabukusi aliondolewa kwenye mchakato huo ambapo aliamua kufungua shauri la kupinga maamuzi ya Kamati ya Rufani iliyomuengua. Uchaguzi wa Rais wa TLS unatarajiwa kufanyika mapema Agosti, 2024
View attachment 3052783
Ana punches zilizoshiba, all the best kwake na mawakili wote.Ameyasema hayo leo Julai 26/7/2024 baada ya kushinda kesi yake
Baada Mahakama kutengua maamuzi ya Kamati ya Rufani ya TLS, na kumrejesha Wakili Mwabukusi kugombea Urais wa TLS
Hapo awali, Wakili Mwabukusi aliondolewa kwenye mchakato huo ambapo aliamua kufungua shauri la kupinga maamuzi ya Kamati ya Rufani iliyomuengua. Uchaguzi wa Rais wa TLS unatarajiwa kufanyika mapema Agosti, 2024
View attachment 3052783
Nape napeKatushinda mahakamani sawa lakini kwenye kura tutatumia mbinu za komandoo wetu Mheshimiwa Nape.....