Mwabukusi, uchaguzi umekwisha sasa jielekeze kwenye majukumu ya TLS

Mwabukusi, uchaguzi umekwisha sasa jielekeze kwenye majukumu ya TLS

Anayajua majukumu yake vyema kuliko wewe kwa hiyo wala haitaji ushauri uchwara
Ni ushauri tu tunampa. Kama unaona ni ushauri uchwara iko siku tutarudi hapa
 
Anayajua majukumu yake vyema kuliko wewe kwa hiyo wala haitaji ushauri uchwara
Haijalishi kama anajuwa kuliko sisi, kimsingi mengi yanayosemwa wakati wa kampeni huwa ni tofauti kwenye utendaji kwa ground
 
Wewe uliyefaulu mbona hujawahi kuwa hata balozi wa nyumba 10, hata kuwa kiongozi wa familia umeshindwa na mchepuko ndio kichwa cha familia yako
 
Ushauri kwa Mwabukusi. Usicheze na jukwaa jikite katika MALENGO YA KUANZISHWA KWA TLS

Kwa mujibu wa kifungu cha 4 cha Sheria ya TLS sura ya 307 malengo ya kuanzishwa TLS ni:

(a)Kulinda na kukuza viwango vya taaluma ya sheria na mwenendo wa wanasheria nchini Tanzania;

(b) Kuwezesha upatikanaji wa maarifa ya kisheria kwa wanachama wake na watu wengine;

(c) Kuisaidia serikali na mahakama katika mambo yote yanayohusu sheria, utawala wa sheria na utekelezaji wa sheria;

(d) Kulinda na kuusaidia umma wa watanzania yanayohusu au kuendana au kutokana na sheria;

(e) Kumiliki mali na kuziendeleza kwa faida ya kutimiza malengo yake kwa mujibu wa sheria;6

(f) Kuchangisha au kukopa fedha kwaajili ya uendeshaji wa shughuli zake;

(g) Kujihusisha na uwekezaji wa fedha au rasimali nyingine kama TLS itakavyoona inafaa;

(h) Kufanya kitu kingine chochote kila kinachoendana au kuwezesha kutekeleza malengo yake.
Kwanini hukumshauri mwanzo?
 
Ushauri kwa Mwabukusi. Usicheze na jukwaa jikite katika MALENGO YA KUANZISHWA KWA TLS

Kwa mujibu wa kifungu cha 4 cha Sheria ya TLS sura ya 307 malengo ya kuanzishwa TLS ni:

(a)Kulinda na kukuza viwango vya taaluma ya sheria na mwenendo wa wanasheria nchini Tanzania;

(b) Kuwezesha upatikanaji wa maarifa ya kisheria kwa wanachama wake na watu wengine;

(c) Kuisaidia serikali na mahakama katika mambo yote yanayohusu sheria, utawala wa sheria na utekelezaji wa sheria;

(d) Kulinda na kuusaidia umma wa watanzania yanayohusu au kuendana au kutokana na sheria;

(e) Kumiliki mali na kuziendeleza kwa faida ya kutimiza malengo yake kwa mujibu wa sheria;6

(f) Kuchangisha au kukopa fedha kwaajili ya uendeshaji wa shughuli zake;

(g) Kujihusisha na uwekezaji wa fedha au rasimali nyingine kama TLS itakavyoona inafaa;

(h) Kufanya kitu kingine chochote kila kinachoendana au kuwezesha kutekeleza malengo yake.
Wanasheria wetu Tanzania ni watu wanaojitambua.
Wanamjua Rais wao, President Mwabukusi.
Tulioko pembeni tuache kiherehere.
 
Amekemea kudhalilishwa kwa mwanamke huko Dar, umeona?
Nimeiona hii hapa:-
IMG-20240805-WA0075.jpg
 
Ushauri kwa Mwabukusi. Usicheze na jukwaa jikite katika MALENGO YA KUANZISHWA KWA TLS

Kwa mujibu wa kifungu cha 4 cha Sheria ya TLS sura ya 307 malengo ya kuanzishwa TLS ni:

(a)Kulinda na kukuza viwango vya taaluma ya sheria na mwenendo wa wanasheria nchini Tanzania;

(b) Kuwezesha upatikanaji wa maarifa ya kisheria kwa wanachama wake na watu wengine;

(c) Kuisaidia serikali na mahakama katika mambo yote yanayohusu sheria, utawala wa sheria na utekelezaji wa sheria;

(d) Kulinda na kuusaidia umma wa watanzania yanayohusu au kuendana au kutokana na sheria;

(e) Kumiliki mali na kuziendeleza kwa faida ya kutimiza malengo yake kwa mujibu wa sheria;6

(f) Kuchangisha au kukopa fedha kwaajili ya uendeshaji wa shughuli zake;

(g) Kujihusisha na uwekezaji wa fedha au rasimali nyingine kama TLS itakavyoona inafaa;

(h) Kufanya kitu kingine chochote kila kinachoendana au kuwezesha kutekeleza malengo yake.
Mwabukusi jielekeze hapa juu
 
Back
Top Bottom