Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haijalishi kama anajuwa kuliko sisi, kimsingi mengi yanayosemwa wakati wa kampeni huwa ni tofauti kwenye utendaji kwa groundAnayajua majukumu yake vyema kuliko wewe kwa hiyo wala haitaji ushauri uchwara
Mnaye huyo miaka mitatu, Lissu mwaka mmoja tu aliwatoa JASHO, sasa mitatu je!!Hiyo ndiyo itakayomponza Mwabukusi, akiingia kwq namna hiyo atakwamq
Kwanini hukumshauri mwanzo?Ushauri kwa Mwabukusi. Usicheze na jukwaa jikite katika MALENGO YA KUANZISHWA KWA TLS
Kwa mujibu wa kifungu cha 4 cha Sheria ya TLS sura ya 307 malengo ya kuanzishwa TLS ni:
(a)Kulinda na kukuza viwango vya taaluma ya sheria na mwenendo wa wanasheria nchini Tanzania;
(b) Kuwezesha upatikanaji wa maarifa ya kisheria kwa wanachama wake na watu wengine;
(c) Kuisaidia serikali na mahakama katika mambo yote yanayohusu sheria, utawala wa sheria na utekelezaji wa sheria;
(d) Kulinda na kuusaidia umma wa watanzania yanayohusu au kuendana au kutokana na sheria;
(e) Kumiliki mali na kuziendeleza kwa faida ya kutimiza malengo yake kwa mujibu wa sheria;6
(f) Kuchangisha au kukopa fedha kwaajili ya uendeshaji wa shughuli zake;
(g) Kujihusisha na uwekezaji wa fedha au rasimali nyingine kama TLS itakavyoona inafaa;
(h) Kufanya kitu kingine chochote kila kinachoendana au kuwezesha kutekeleza malengo yake.
Wanasheria wetu Tanzania ni watu wanaojitambua.Ushauri kwa Mwabukusi. Usicheze na jukwaa jikite katika MALENGO YA KUANZISHWA KWA TLS
Kwa mujibu wa kifungu cha 4 cha Sheria ya TLS sura ya 307 malengo ya kuanzishwa TLS ni:
(a)Kulinda na kukuza viwango vya taaluma ya sheria na mwenendo wa wanasheria nchini Tanzania;
(b) Kuwezesha upatikanaji wa maarifa ya kisheria kwa wanachama wake na watu wengine;
(c) Kuisaidia serikali na mahakama katika mambo yote yanayohusu sheria, utawala wa sheria na utekelezaji wa sheria;
(d) Kulinda na kuusaidia umma wa watanzania yanayohusu au kuendana au kutokana na sheria;
(e) Kumiliki mali na kuziendeleza kwa faida ya kutimiza malengo yake kwa mujibu wa sheria;6
(f) Kuchangisha au kukopa fedha kwaajili ya uendeshaji wa shughuli zake;
(g) Kujihusisha na uwekezaji wa fedha au rasimali nyingine kama TLS itakavyoona inafaa;
(h) Kufanya kitu kingine chochote kila kinachoendana au kuwezesha kutekeleza malengo yake.
Amekemea kudhalilishwa kwa mwanamke huko Dar, umeona?Sasa hivi ni Rais wa TLS, mwanzoni alikuwa mgombea wa kiti
Sasa hivi ni Rais wa TLS, mwanzoni alikuwa mgombea wa kiti
Mwabukusi jielekeze hapa juuUshauri kwa Mwabukusi. Usicheze na jukwaa jikite katika MALENGO YA KUANZISHWA KWA TLS
Kwa mujibu wa kifungu cha 4 cha Sheria ya TLS sura ya 307 malengo ya kuanzishwa TLS ni:
(a)Kulinda na kukuza viwango vya taaluma ya sheria na mwenendo wa wanasheria nchini Tanzania;
(b) Kuwezesha upatikanaji wa maarifa ya kisheria kwa wanachama wake na watu wengine;
(c) Kuisaidia serikali na mahakama katika mambo yote yanayohusu sheria, utawala wa sheria na utekelezaji wa sheria;
(d) Kulinda na kuusaidia umma wa watanzania yanayohusu au kuendana au kutokana na sheria;
(e) Kumiliki mali na kuziendeleza kwa faida ya kutimiza malengo yake kwa mujibu wa sheria;6
(f) Kuchangisha au kukopa fedha kwaajili ya uendeshaji wa shughuli zake;
(g) Kujihusisha na uwekezaji wa fedha au rasimali nyingine kama TLS itakavyoona inafaa;
(h) Kufanya kitu kingine chochote kila kinachoendana au kuwezesha kutekeleza malengo yake.