Mwabukusi mwenyewe mbona hakuonekana maandamano ya Chadema????sio watanzania wote, ni dar peke yake..ilikuwa sahihi kabisa kuondoa mji mkuu! unakuwaje mji mkuu na watu waoga, wajinga, wanafiki..nk,nk!
Mwabukusi mwenyewe mbona hatujamuona maandamano ya Chademasio watanzania wote, ni dar peke yake..ilikuwa sahihi kabisa kuondoa mji mkuu! unakuwaje mji mkuu na watu waoga, wajinga, wanafiki..nk,nk!
Mwabukusi tapeli la fursa hana msaada wowote ule!!Mwabukusi mwenyewe mbona hatujamuona maandamano ya Chadema
ππJasiri anaongea kwa sauti huku nyuma kajificha kwenye keyboard!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama lengo likikuwa ni kupinga utekaji, mateso, na mauaji.Atalaumiwa sana dobi kaniki rangi yake:
"Maandamano yalikuwa yaanzie Tanga kwenye mazishi, yakazimwa blindly."
Kwa maneno ya mkenya
"Mwizi huwa hapeani miadi!"
Cc: imhotep, binti kiziwi
Niandamane hela ya luzuku ya chama chenu mtanigaia..Watanzania waambie njooni muandamane Simba ameleta kombe, wataandamana hata uchi kwenda uwanja wa Taifa. Wanazingatia sana mamboa ambayo si ya msingi.
Kwenye culture yetu tuliamini kuwa mambo yote magumu magumu ni ya viongozi. Hali hii itaendele na itakuwepo kwa muda mrefu kwasababu kwanza hatujabadili mfumo wetu wa elimu na sasa hivi tumeubemenda, tumeutikisa zaidi.
Ile free thinking huipati sawasawa ndiyo maana utakuta watoto wa siku hizi Ukimona anapiga kelele ni boom, yaani kama ndege.
Soma:
kwa hiyo maandamano lazima Mwabukusi awepo? alishaandamana mara nyingi tu! hata hivyo anavyhojiwa anaandamana.Mwabukusi mwenyewe mbona hakuonekana maandamano ya Chadema????
Mmmmmmm kwa hiyo naye ataandamana uchi siku yakiitiishwa maandamano ya Simba na yanga?
Yaani nchi hii kuna matapeli wawinda fursa kila kona serikalini, bungeni,mahakamani hadi Tanganyika Law SocietyMwabukusi tapeli la fursa hana msaada wowote ule!!
Mbona Mwabukusi Rais wa TLS hakuonekana maandamano ya Chadema? Kwani yeye sio mtanzania?Huyu Jamaa ana akili sana aisee..
Hadi hapo mafuvu yatakopo rudishiwa akili kwenye jamii zetuTutafiki wanakokutaka, wao waendelea kuteka na kuua.
Yeye mbona hakuenda kuandamana maandamano ya Chadema? Yeye sie wa kizazi hiki na ana free thinking kubwa mbona hakwenda maandamano?Jamaa kaongea point sana.
Hiki kizazi cha kipuuzi kabisa
Kwa kifupi Watanzania tulio wengi hatuna 'critical thinking' (hatuwezi kuhoji kwa nini mambo yafanyike kama yanavyofanyika na si tofauti). Kwa vile hatuna utamaduni wa kujihoji, tupo tupo tu bora liende, Kila mtu na shughuli zake.Watanzania waambie njooni muandamane Simba ameleta kombe, wataandamana hata uchi kwenda uwanja wa Taifa. Wanazingatia sana mamboa ambayo si ya msingi.
Kwenye culture yetu tuliamini kuwa mambo yote magumu magumu ni ya viongozi. Hali hii itaendele na itakuwepo kwa muda mrefu kwasababu kwanza hatujabadili mfumo wetu wa elimu na sasa hivi tumeubemenda, tumeutikisa zaidi.
Ile free thinking huipati sawasawa ndiyo maana utakuta watoto wa siku hizi Ukimona anapiga kelele ni boom, yaani kama ndege.
Soma: