Mwabukusi mwenyewe mbona hakuonekana maandamano ya Chadema????sio watanzania wote, ni dar peke yake..ilikuwa sahihi kabisa kuondoa mji mkuu! unakuwaje mji mkuu na watu waoga, wajinga, wanafiki..nk,nk!
Mmmmmmm kwa hiyo naye ataandamana uchi siku yakiitiishwa maandamano ya Simba na yanga?