We Kama unaamini uchawi kwanini msiloge na nyinyi ili muwe na kiwango Cha kucheza huko ligi ya mabingwa maana hata kufuzu tu bado ni changamoto kazi kulia lia tu na marefaWanasimba lazima mkiri kuwa mnatumia uchawi...kiwango Chenu kimataifa ni MAZINGAOMBWE siku zote ninaongea,
Kama kweli mlimfunga mwarabu wa kiwango kile vipi mwadui akusumbueni?
Mnaharibu mpira nchini mnatuharibia Yanga standard yetu kwa kudhoofisha strikers wetu kwa nguvu za babu ,acheni kuidanganya dunia,sasa leo Kiko wapi?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mkuu Mpira hujui ...huonagi timu ndogo za Uingereza kwenye kombe la FA huwa zinazifanyaje timu kubwa...!Wanasimba lazima mkiri kuwa mnatumia uchawi...kiwango Chenu kimataifa ni MAZINGAOMBWE siku zote ninaongea,
Kama kweli mlimfunga mwarabu wa kiwango kile vipi mwadui akusumbueni?
Mnaharibu mpira nchini mnatuharibia Yanga standard yetu kwa kudhoofisha strikers wetu kwa nguvu za babu ,acheni kuidanganya dunia,sasa leo Kiko wapi?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mmeanza kurejea Uto.....Ashukuriwe Rabana...Kaa hapo hapo, Usipotee baadae. Game hii badoWanasimba lazima mkiri kuwa mnatumia uchawi...kiwango Chenu kimataifa ni MAZINGAOMBWE siku zote ninaongea,
Kama kweli mlimfunga mwarabu wa kiwango kile vipi mwadui akusumbueni?
Mnaharibu mpira nchini mnatuharibia Yanga standard yetu kwa kudhoofisha strikers wetu kwa nguvu za babu ,acheni kuidanganya dunia,sasa leo Kiko wapi?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hamna kitu Kama hocho....mpira was Tz umeanza kuujua liniJamaa leo wame relax sana.kuna move zinauliwa kwa makusudi...dizaini kama wame fix match!
Si mlikua mnasema mtashinda 8 mkishinda sana 2Boko amekosa utulivu kabisa pale
Mnashinda tulieniJamaa leo wame relax sana.kuna move zinauliwa kwa makusudi...dizaini kama wame fix match!
tayari bao66' Bocco Goooooooooooooaal
Asante captain