Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania Vodacom Premier League VPL' kuvurumishwa leo Jumapili ya Aprili 18, 2021 ambapo Mwadui FC anakwaruzana na Mabingwa wa Nchi, Mnyama Mkali Simba SC kwenye uwanja wa Kambarage mkoani Shinyanga.
Mchezo huu utarajiwa kuwa kali na wa kusisimua kwa muda wote wa dakika 90 kwa kila timu ikihitaji alama tatu muhimu kuweza kufikia sehemu ya juu kwenye VPL
Wachimba Almasi wakiwa na hali mbaya kwenye msimamo wa Ligi, wataweza kumzuia Mnyama Mkali? Au Mnyama Mkali ataendeleza desturi yake ya kuandika alama tatu muhimu ili kutetea ubingwa wake?
Kumbuka mtanange huu wa VPL ni kuanzia saa 10: 00 jioni. Usikose Ukasimuliwa.
Kulitaka Mwana Kulipewa Mwana
=========
Timu zipo uwanjani zikifanyiwa ukaguzi, salamu pamoja na kupiga picha za kumbukumbu.
Wakati wowote mpira utaanza uwanja wa Kambarage mkoani Shinyanga, mashabiki ni wengi wamejitokeza hasa wa Simba
Naaaam mpira umeanza ni vita vya VPL, kuwania alama tatu muhimu
01' Chama upande wa kushoto, anakwendaa anapiga shutiiiiii loooooo golikipa anatema shuti lile na unaokolewa na mabeki
Ilikuwa hatari sana lango la Mwadui FC na nafasi bomba kwa Simba SC
Mchezaji wa Mwadui anapiga shutiiiiii linapaa nje ya lango la Simba SC
10' Hakuna timu imeona lango huku Simba wakimiliki zaidi mpira dhidi ya Mwadui FC
15' Mpira unachezwa zaidi eneo la Mwadui FC. Hii ni ishara mashambulizi ni makali kwao, lakini hakuna bao
Mwadui FC 0-0 Simba SC
25' Wanakwenda Mwadui FC, shambulizi kwa Simba, lakini golikipa Manula anaokoa hatari na kuweka salama lango.
34' mpira unapigwa mbele kule kwake Chamaaa, anapiga shutiiiiii linatoka nje na kuwa Goal Kick
40' Mwadui FC wameweza kudhibiti hatari zote za Simba SC kwa kipindi hiki cha kwanza pamoja na Simba kumiliki zaidi mpira
Mwadui FC 0-0 Simba SC
44' Anapigaaaa kulee mpira unagonga mlingoti na kumkuta Beki wa Mwadui FC na kuokoa, ilikuwa hatari sana lango la Mwadui FC
45+2'
Kuelekea kuwa mapumziko uwanja wa Kambarage, ni VPL
Inapigwaa kwenye lango la Simba shutii wanakosa Mwadui FC
Naaaam mpira ni mapumziko ambapo hakuna timu imeweza kusalimia lango la mwenzake si Mwadui FC wala Simba SC
HT: VPL, Mwadui FC 0-0 Simba SC
Kipindi cha pili kimeanza uwanja wa Kambarage.
Mabadiliko upande wa Simba SC Ametoka Chikwende na Mkude na wameingia Bocco na Morrison
Mabadiliko upande wa Mwadui FC, Ametoka Richard na Ameingia Aziz.
Uhuru wa Mwadui FC anaonyeshwa Kadi ya njano baada ya kumfanyia madhambi Bernard Morrison
48' Nafasi kwa Simba anakwendaa Bocco, anapiga krosiiiiiiii loooooo unatoka nje Mpira
51' Mpira wa uliopigwa na Morrison Washambuliaji Bocco na Kagere wanashidwa wanakosa utulivu wa kuweka wavuni mpira.
64' Kiango wa Mwadui anaonyeshwa Kadi ya Njano baada kumchezea faulo Chama
66' Inapigwa Kona na Morrisoooon kwake Onyango anaruka juu na kupiga kichwa mpira unamkuta Boccooo
Goooooooooooooaal Gooooal
John Bocco anaipatia Simba SC bao la kwanza kwa kichwa
Mwadui FC 0-1 Simba SC
Anakwendaa Kagere go go go go go laaaaa anaokoa Difenda yule wa Mwadui FC, ilikuwa nafasi kwa Simba SC kuandika bao.
70' Bernard Morrison anaonyesha Kadi ya Njano
Haya Mwadui FC wameamka wanashambulia kujaribu kusawazisha lakini ngome ya Simba chini ya Wawa na Onyango wapo imara
80' Simba anaongoza moja bila, wakati huo huo Mzamir ameingia na Ametoka Bwalya upande wa Simba SC
90+4' kuelekea kumalizika kwa mchezo wa leo wa VPL'
Ni free kick kuelekea Mwadui FC, Bernard anapigaaaaa, lakini mpira unatoka nje ya lango.
Wawa kwake Onyango wanapiga pembeni kuleee kwake Hussein wanagonga gonga mpira ni wakati wa Biriani
Naaaam mpira umekwishaaa ambapo Simba SC wameibuka na ushindi wa bao moja kwa bila dhidi ya Mwadui FC, bao la John Bocco dakika ya 66'.
FT; VPL' Mwadui FC 0-1 Simba SC
........... Ghazwat
Mchezo huu utarajiwa kuwa kali na wa kusisimua kwa muda wote wa dakika 90 kwa kila timu ikihitaji alama tatu muhimu kuweza kufikia sehemu ya juu kwenye VPL
Wachimba Almasi wakiwa na hali mbaya kwenye msimamo wa Ligi, wataweza kumzuia Mnyama Mkali? Au Mnyama Mkali ataendeleza desturi yake ya kuandika alama tatu muhimu ili kutetea ubingwa wake?
Kumbuka mtanange huu wa VPL ni kuanzia saa 10: 00 jioni. Usikose Ukasimuliwa.
Kulitaka Mwana Kulipewa Mwana
=========
Timu zipo uwanjani zikifanyiwa ukaguzi, salamu pamoja na kupiga picha za kumbukumbu.
Wakati wowote mpira utaanza uwanja wa Kambarage mkoani Shinyanga, mashabiki ni wengi wamejitokeza hasa wa Simba
Naaaam mpira umeanza ni vita vya VPL, kuwania alama tatu muhimu
01' Chama upande wa kushoto, anakwendaa anapiga shutiiiiii loooooo golikipa anatema shuti lile na unaokolewa na mabeki
Ilikuwa hatari sana lango la Mwadui FC na nafasi bomba kwa Simba SC
Mchezaji wa Mwadui anapiga shutiiiiii linapaa nje ya lango la Simba SC
10' Hakuna timu imeona lango huku Simba wakimiliki zaidi mpira dhidi ya Mwadui FC
15' Mpira unachezwa zaidi eneo la Mwadui FC. Hii ni ishara mashambulizi ni makali kwao, lakini hakuna bao
Mwadui FC 0-0 Simba SC
25' Wanakwenda Mwadui FC, shambulizi kwa Simba, lakini golikipa Manula anaokoa hatari na kuweka salama lango.
34' mpira unapigwa mbele kule kwake Chamaaa, anapiga shutiiiiii linatoka nje na kuwa Goal Kick
40' Mwadui FC wameweza kudhibiti hatari zote za Simba SC kwa kipindi hiki cha kwanza pamoja na Simba kumiliki zaidi mpira
Mwadui FC 0-0 Simba SC
44' Anapigaaaa kulee mpira unagonga mlingoti na kumkuta Beki wa Mwadui FC na kuokoa, ilikuwa hatari sana lango la Mwadui FC
45+2'
Kuelekea kuwa mapumziko uwanja wa Kambarage, ni VPL
Inapigwaa kwenye lango la Simba shutii wanakosa Mwadui FC
Naaaam mpira ni mapumziko ambapo hakuna timu imeweza kusalimia lango la mwenzake si Mwadui FC wala Simba SC
HT: VPL, Mwadui FC 0-0 Simba SC
Kipindi cha pili kimeanza uwanja wa Kambarage.
Mabadiliko upande wa Simba SC Ametoka Chikwende na Mkude na wameingia Bocco na Morrison
Mabadiliko upande wa Mwadui FC, Ametoka Richard na Ameingia Aziz.
Uhuru wa Mwadui FC anaonyeshwa Kadi ya njano baada ya kumfanyia madhambi Bernard Morrison
48' Nafasi kwa Simba anakwendaa Bocco, anapiga krosiiiiiiii loooooo unatoka nje Mpira
51' Mpira wa uliopigwa na Morrison Washambuliaji Bocco na Kagere wanashidwa wanakosa utulivu wa kuweka wavuni mpira.
64' Kiango wa Mwadui anaonyeshwa Kadi ya Njano baada kumchezea faulo Chama
66' Inapigwa Kona na Morrisoooon kwake Onyango anaruka juu na kupiga kichwa mpira unamkuta Boccooo
Goooooooooooooaal Gooooal
John Bocco anaipatia Simba SC bao la kwanza kwa kichwa
Mwadui FC 0-1 Simba SC
Anakwendaa Kagere go go go go go laaaaa anaokoa Difenda yule wa Mwadui FC, ilikuwa nafasi kwa Simba SC kuandika bao.
70' Bernard Morrison anaonyesha Kadi ya Njano
Haya Mwadui FC wameamka wanashambulia kujaribu kusawazisha lakini ngome ya Simba chini ya Wawa na Onyango wapo imara
80' Simba anaongoza moja bila, wakati huo huo Mzamir ameingia na Ametoka Bwalya upande wa Simba SC
90+4' kuelekea kumalizika kwa mchezo wa leo wa VPL'
Ni free kick kuelekea Mwadui FC, Bernard anapigaaaaa, lakini mpira unatoka nje ya lango.
Wawa kwake Onyango wanapiga pembeni kuleee kwake Hussein wanagonga gonga mpira ni wakati wa Biriani
Naaaam mpira umekwishaaa ambapo Simba SC wameibuka na ushindi wa bao moja kwa bila dhidi ya Mwadui FC, bao la John Bocco dakika ya 66'.
FT; VPL' Mwadui FC 0-1 Simba SC
........... Ghazwat