Hii pesa yao sasa naona inafanya kazi kweli kweli. Ukiangalia magoli wanayofunga simba ni kama ya dawa hivi ghafla eti gori lilikotokea wala huoni move ya gori. Kingine najiuliza, mbona kukamiwa kwa yanga hakuonekani kwa simba? Mechi za Yanga timu zinakaribia kufia uwanjani ili Yanga isipate matokeo lakini ukija kwa Simba hari ni kizungumkuti, kuanzia straika mpaka mabeki ni kama wanacheza kukamilisha ratiba tu dhidi ya simba.Washakwambia msimu huu hela wanayo
Wanasahau kuwa okwi ni mchezaji bora mwezi wa 8.Wamechanganyikiwa mapema hawa, Okwi aliwafunga Misri yenye wachezaji wa EPL atashindwaje kuwafunga Mwadui?
Gori ndo nini dada?
Wanasahau kuwa okwi ni mchezaji bora mwezi wa 8.
Hii pesa yao sasa naona inafanya kazi kweli kweli. Ukiangalia magoli wanayofunga simba ni kama ya dawa hivi ghafla eti gori lilikotokea wala huoni move ya gori. Kingine najiuliza, mbona kukamiwa kwa yanga hakuonekani kwa simba? Mechi za Yanga timu zinakaribia kufia uwanjani ili Yanga isipate matokeo lakini ukija kwa Simba hari ni kizungumkuti, kuanzia straika mpaka mabeki ni kama wanacheza kukamilisha ratiba tu dhidi ya simba.
Kuna haja ya kuanza kufanya uchunguzi na Takukuru waziangalie sana hizi mechi za Simba na Yanga. Kuna mzunguko wa pesa hapa na ukizingatia watu washatangaza mwaka huu ni wao na pesa wanayo, hiyo pesa ni ya kazi gani tena?
Naona ushaanza kuwashwaNimethibitishiwa Golikipa aliyedakia leo Mwadui katika mechi dhidi ya Simba ni mmoja wa Vijana waliokuzwa na kulelewa na aliyekuwa Kocha wa team hiyo Jamhuri Kihwelo "Julio".
Na kwamba washambuliaji wa Simba hawakushtukia mapema kuwa golini yuko Kijana wao.
Ndo maana statistics za wachezaji mmoja'mmoja katika mchezo huu zimekuwa kama ifuatavyo:-
1. Okwi............Shot in target 2 - Goli 2.
2. Boko............Shot in target 1 - Goli 1.
Tutaendelea sana kuishia round za awali kwenye mashindano ya kimataifa.
Ubora wa mchezaji haupimwi kwa kuwafunga nani nani cjui,ukileta hizo nitakuuliza pia kwnn alishindwa kuwafunga Chipukizi ya Zanzibar hata goli la offside hlf aje awafunge Ruvu magoli ma'4Wamechanganyikiwa mapema hawa, Okwi aliwafunga Misri yenye wachezaji wa EPL atashindwaje kuwafunga Mwadui?
Hlf Afisa Mipango wao wa mwaka huu cyo mtu wa mchezoX2,yaani mpango mzima unaanzia kwa Walimu wapanga kikosi,haiwezekani mchezaji asha'prove out of form lkn bado anaendelea tu kuaminiwa.Hii pesa yao sasa naona inafanya kazi kweli kweli. Ukiangalia magoli wanayofunga simba ni kama ya dawa hivi ghafla eti gori lilikotokea wala huoni move ya gori. Kingine najiuliza, mbona kukamiwa kwa yanga hakuonekani kwa simba? Mechi za Yanga timu zinakaribia kufia uwanjani ili Yanga isipate matokeo lakini ukija kwa Simba hari ni kizungumkuti, kuanzia straika mpaka mabeki ni kama wanacheza kukamilisha ratiba tu dhidi ya simba.
Kuna haja ya kuanza kufanya uchunguzi na Takukuru waziangalie sana hizi mechi za Simba na Yanga. Kuna mzunguko wa pesa hapa na ukizingatia watu washatangaza mwaka huu ni wao na pesa wanayo, hiyo pesa ni ya kazi gani tena?