Anselm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 1,710
- 291
Nimethibitishiwa Golikipa aliyedakia leo Mwadui katika mechi dhidi ya Simba ni mmoja wa Vijana waliokuzwa na kulelewa na aliyekuwa Kocha wa team hiyo Jamhuri Kihwelo "Julio".
Na kwamba washambuliaji wa Simba hawakushtukia mapema kuwa golini yuko Kijana wao.
Ndo maana statistics za wachezaji mmoja'mmoja katika mchezo huu zimekuwa kama ifuatavyo:-
1. Okwi............Shot on target 2 - Goli 2.
2. Boko............Shot on target 1 - Goli 1.
Tutaendelea sana kuishia round za awali kwenye mashindano ya kimataifa.
Na kwamba washambuliaji wa Simba hawakushtukia mapema kuwa golini yuko Kijana wao.
Ndo maana statistics za wachezaji mmoja'mmoja katika mchezo huu zimekuwa kama ifuatavyo:-
1. Okwi............Shot on target 2 - Goli 2.
2. Boko............Shot on target 1 - Goli 1.
Tutaendelea sana kuishia round za awali kwenye mashindano ya kimataifa.