sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
- Thread starter
- #121
Hahaha.. Haya ndo mambo tuliyoyazoea huku kwetu.. Mtwara tuliteleza, Mwanza walituroga.. Ila leo shinyanga tulikua makini sana. Sasa gemu inayofuata tuko nanyi Taifa.. Hahaha.. Na mje tu.Mtani leo una nguvu si kawaida.
Hongereni naona mmeona mwezi. [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]