Mwadui FC Vs Simba SC

Mwadui FC Vs Simba SC

MK 14 ndo maana tulikusajili. Si kwa goli matata kama lile. SimbaNguvuMoja
 
ANGALIZO: Mpaka sasa ni Dk. 62, Okwi bado hajaingia uwanjani.
 
Leo msemaji wenu nadhani atapokea!
Maana juzi kati hapo aligomea kupokea simu ya RADIO ONE michezo saa 19:30
 
Dk ya 79 jonh bocc anakula umeme, Kwa kumpiga maksudi mchezaji wa mwadui........!!!
 
Back
Top Bottom