Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ulitaka wafanyeje, kama uchumi hauruhusu ya kizungu!!Huu ndio uafrika per se!
View attachment 2318954
Basi wasaidiane mizigo, hujaona kasoro?wewe ulitaka wafanyeje, kama uchumi hauruhusu ya kizungu!!
Hilo ni igizo la mwaka gani?Huu ndio uafrika per se!
View attachment 2318954
Muda huu yuko zake Rau Madukani anakunywa mbege na nyama choma. Akiamka asubuhi na mapema, anakuja na mada zake zenye maswali kuhusu Chadema na Mbowe.
Ila kaka mkubwa huoni kabisa haya ni maigizo? Na hata kama ingekuwa kweli si kwamba waafrika wote tuko hivyo[emoji24]
Nenda vijijini kaone mkuu tena hiyo hana mizigo bado mzigo wa kuniHayo maigizo,not real! Lengo kuwadhalilisha waafrika.
Tafsiri mbaya na matumissi mabaaya ya dowry