Mwajiri amegoma kunilipa mshahara wa mwezi November mpaka nisaini mkataba alionipa..

Mwajiri amegoma kunilipa mshahara wa mwezi November mpaka nisaini mkataba alionipa..

BABA-D

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2015
Posts
1,228
Reaction score
1,016
Mimi ni mfanyakazi na nimefanya kazi kwa takribani miaka 11 kwenye taasisi hii. Nilikuwa naingia mikataba ya miaka miwili miwili halafu na-rew. Sasa ilipofika mwaka 2015 mwajiri alininipa mkataba wa permanent kama ku-comply na matakwa ya CRDB ambao walisema ili mwajiriwa apate mkopo katika benki yao ni lazima awe kwenye permanent employment.

Sasa mwajiri nimehisi anataka kupunguza wafanyakazi ambao wana angalau scale kubwa kidogo ili achukue hawa wanaotoka vyuo maana anawalipa kidogo.

Hoja yangu iko hivi nilipewa mkataba mwingine mwezi wa 11 mwaka huu ukiwa unasema umeanza tarehe 01-07-2024 na utaisha tarehe 30-06-2025. Huu mkataba nimegoma kuusaini maana hauna haki kama Gratuity 10% na paternity leave kama zilivyokuwa kwenye ule mkataba wa permanent..
Kutokana na hilo sasa mwajiri amegoma kunilipa mshahara wa mwezi November mpaka nisaini mkataba alionipa..

Please naomba ushauri wenu
 
Hapo wewe muandikie lalamiko akulipe mshahara wako alafu endelea na kazi zako asipokulipa tena sasa hapo ruka naye CMA kwa unfair termination inayotokana na mazingira magumu ya kazi. Zingatia hilo mazingira magumu ya kazi ni muhimu kwa scenario yako.

Ila huyo mwajiri bhana hapo hawezi kubadili huo mkataba hadi mkubaliane na huo mtakaoingia useme kuwa umeufuta huu wa sasa wakudumu. Ila usije ukasaini.

Ukianza mpambano CMA ukataka wakili nipo hapa Mkuu.
 
Hapo wewe muandikie lalamiko akulipe mshahara wako alafu endelea na kazi zako asipokulipa tena sasa hapo ruka naye CMA kwa unfair termination inayotokana na mazingira magumu ya kazi. Zingatia hilo mazingira magumu ya kazi ni muhimu kwa scenario yako.

Ila huyo mwajiri bhana hapo hawezi kubadili huo mkataba hadi mkubaliane na huo mtakaoingia useme kuwa umeufuta huu wa sasa wakudumu. Ila usije ukasaini.

Ukianza mpambano CMA ukataka wakili nipo hapa Mkuu.
Asante mkuu nitazingatia hilo
 
Mimi ni mfanyakazi na nimefanya kazi kwa takribani miaka 11 kwenye taasisi hii. Nilikuwa naingia mikataba ya miaka miwili miwili halafu na-rew. Sasa ilipofika mwaka 2015 mwajiri alininipa mkataba wa permanent kama ku-comply na matakwa ya CRDB ambao walisema ili mwajiriwa apate mkopo katika benki yao ni lazima awe kwenye permanent employment.

Sasa mwajiri nimehisi anataka kupunguza wafanyakazi ambao wana angalau scale kubwa kidogo ili achukue hawa wanaotoka vyuo maana anawalipa kidogo.

Hoja yangu iko hivi nilipewa mkataba mwingine mwezi wa 11 mwaka huu ukiwa unasema umeanza tarehe 01-07-2024 na utaisha tarehe 30-06-2025. Huu mkataba nimegoma kuusaini maana hauna haki kama Gratuity 10% na paternity leave kama zilivyokuwa kwenye ule mkataba wa permanent..
Kutokana na hilo sasa mwajiri amegoma kunilipa mshahara wa mwezi November mpaka nisaini mkataba alionipa..

Please naomba ushauri wenu
Pole kwa Changamoto,ntarudi kukupa muongozo maana naona network yangu Leo Iko vibaya
 
Back
Top Bottom