John L. Mihambo
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 526
- 177
Habari Magwiji wa Sheria, naomba kupatiwa muongozo wa kisheria ili niweze kumburuza aliyekuwa Mwajiri wangu MAHAKANI.
Huyu bwana alisimamisha mishahara yangu kwa muda mrefu kwa madai kwamba imerudishwa HAZINA kutona na utata wa utumishi wangu, baadaye nikaja kugundua mishahara hiyo inapokelewa na MTU NISIYEMFAHAMU huku akiwa amepatiwa MKOPO kutoka taasisi ya PLATINUM CREDIT LTD.
Nilipofuatilia kwa Mwajiri, akarudisha mshahara na makato ya mkopo wake wa kughushi, kisha akaendelea kulipa MTU NISIYEMFAHAMU hadi baadaye nilipombaini tena, huku kukiwa na MIKOPO MINGINE YA KUGHUSHI kutoka taasisi za LETSHEGO NA AFRICAN BANKING CORPORATION (BancABC).
Nahitaji kuwapeleka hawa WAHUNI MAHAKANI, ili wanilipe fidia kutokana na kadhia hii ya muda mrefu, naomba kupatiwa msaada wa kisheria.
0755 732 981 / 0784 324 102
Huyu bwana alisimamisha mishahara yangu kwa muda mrefu kwa madai kwamba imerudishwa HAZINA kutona na utata wa utumishi wangu, baadaye nikaja kugundua mishahara hiyo inapokelewa na MTU NISIYEMFAHAMU huku akiwa amepatiwa MKOPO kutoka taasisi ya PLATINUM CREDIT LTD.
Nilipofuatilia kwa Mwajiri, akarudisha mshahara na makato ya mkopo wake wa kughushi, kisha akaendelea kulipa MTU NISIYEMFAHAMU hadi baadaye nilipombaini tena, huku kukiwa na MIKOPO MINGINE YA KUGHUSHI kutoka taasisi za LETSHEGO NA AFRICAN BANKING CORPORATION (BancABC).
Nahitaji kuwapeleka hawa WAHUNI MAHAKANI, ili wanilipe fidia kutokana na kadhia hii ya muda mrefu, naomba kupatiwa msaada wa kisheria.
0755 732 981 / 0784 324 102