Mwajiriwa wa serikali wa TGS E anakatwa kiasi gani kwenye kila mshahara wake?

Mwajiriwa wa serikali wa TGS E anakatwa kiasi gani kwenye kila mshahara wake?

Joined
Feb 15, 2021
Posts
77
Reaction score
88
Habari wakuu,

Mimi sio mwajiriwa ila ni mtafutaji ambaye ikitokea nkaingia kwenye mfumo basi ntakuwa kwenye daraja la TGS E.

Kujua jambo ni vyema sana, mimi nilikuwa mnufaika wa bodi ya mikopo (HESLB). Napenda kujua taasisi husika kama NHIF, NSSF, PSSSF, HESLB na TRA (PAYE) wanakata kwa asilimia ngapi kila mmoja?
 
Habari wakuu.
Mimi sio mwajiriwa ila ni mtafutaji ambaye ikitokea nkaingia kwenye mfumo basi ntakuwa kwenye daraja la TGS E.
Kujua jambo ni vyema sana, mimi nilikuwa mnufaika wa bodi ya mikopo (HESLB). Napenda kujua taasisi husika kama NHIF, NSSF, PSSSF, HESLB na TRA (PAYE) wanakata kwa asilimia ngapi kila mmoja?
For non teaching staff ni kama ifuatavyo
Basic 950000
PAYE 96500
NHIF 28500
PSSSF 47500
HESLB 142500
For teachers ni kama
Basic 940000
PAYE 96000
NHIF 28000
PSSSF 47000
HESLB 141000
 
Nashukuru sana mkuu, ila kuna sehemu mimi ntakuwa nmekosea maana navyojua kwa daraja hilo nlilolitaja ntakuwa napokea mshahara wa kuanzia 725,000 tsh na sio 950,000. Kuwa specific nina degree ya uafisa uvuvi. Ntajtahdi nifanye calculation kwa hiyo basic nijue asilimia zake. Nashukuru sana mkuu
For non teaching staff ni kama ifuatavyo
Basic 950000
PAYE 96500
NHIF 28500
PSSSF 47500
HESLB 142500
For teachers ni kama
Basic 940000
PAYE 96000
NHIF 28000
PSSSF 47000
HESLB 141000
 
For non teaching staff ni kama ifuatavyo
Basic 950000
PAYE 96500
NHIF 28500
PSSSF 47500
HESLB 142500
For teachers ni kama
Basic 940000
PAYE 96000
NHIF 28000
PSSSF 47000
HESLB 141000
umedanganya
kwa teaching and non teaching staff na TGSE zinamahusiano gani
 
umedanganya
kwa teaching and non teaching staff na TGSE zinamahusiano gani
Mtu alie na degree ya ICT halmashauri/Wizarani anaanza na TGS E(huyu nimemterm kama non teaching staff) na basic yake huwa ni 950000 ila mwalimu mwenye degree halmashauri E yake huwa ni 940000 na huyu analipwa TGTS E,hapo tofauti ni elfu kumi tu,nilimpa nyongeza muuliza swali ili asije kuuliza tena
 
Mtu alie na degree ya ICT halmashauri/Wizarani anaanza na TGS E(huyu nimemterm kama non teaching staff) na basic yake huwa ni 950000 ila mwalimu mwenye degree halmashauri E yake huwa ni 940000 na huyu analipwa TGTS E,hapo tofauti ni elfu kumi tu,nilimpa nyongeza muuliza swali ili asije kuuliza tena
Hapo huenda huyo mwenye ICT Degree anaanza na TGS E.2 na huyo wa ualimu anaanza na TGTS E.1

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
 
For non teaching staff ni kama ifuatavyo
Basic 950000
PAYE 96500
NHIF 28500
PSSSF 47500
HESLB 142500
For teachers ni kama
Basic 940000
PAYE 96000
NHIF 28000
PSSSF 47000
HESLB 141000
Mkuu hii ni kwa scale mpya iliyotangawa juzi ya 23%?
 
For non teaching staff ni kama ifuatavyo
Basic 950000
PAYE 96500
NHIF 28500
PSSSF 47500
HESLB 142500
For teachers ni kama
Basic 940000
PAYE 96000
NHIF 28000
PSSSF 47000
HESLB 141000
Kodi mbona hujaweka
 
Hayo ni mawazo ya kimaskini.
Yaani tgs ni mfumo wa kuwalipa wajingawajinga wa serikali kuu na tawala za mikoa.
Kwa elimu yako let's say ni engineer wenzako wanaanza na mil. 2.5 wewe bado unawaza TGS.
Pambana
Ni wapi huko jombaa? Hujawahi kuujua utamu wa serikali kuu wewe.
 
Watu wanadharau sana...basi kila mtu awe engineer ili apate hizo 2.5... kila mtu ananfasi yake wengine hizo TGS ndi dreams kwao so shut the fuckup..ishi kwa kuheshimu taaluma ya wenxako
Hayo ni mawazo ya kimaskini.
Yaani tgs ni mfumo wa kuwalipa wajingawajinga wa serikali kuu na tawala za mikoa.
Kwa elimu yako let's say ni engineer wenzako wanaanza na mil. 2.5 wewe bado unawaza TGS.
Pambana
 
Back
Top Bottom