Tofauti Hapo ni wanafunzi wanaofundishwa, vyuoni wakihitimu wanakuwa ni professionals ila mwanafunzi akihitimu elimu ya msingi au sekondari Bado anakuwa Hana taaluma yoyote.
Hicho ndo kinachotofautisha wakufunzi na walimu, kuhusu Mwalimu na mkufunzi wote kusoma chuo kimoja na kozi moja hilo keep constant.