Mwaka 2012, Yemen ilitangaza kuwa inavunja Mkataba na DP World kuendesha Bandari ya Aden

Mwaka 2012, Yemen ilitangaza kuwa inavunja Mkataba na DP World kuendesha Bandari ya Aden

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
1686134690556.png

Agosti 26, 2012, Mtandao wa Reuters uliripoti kuwa Wizara ya Uchukuzi kupitia Serikali ya Yemen ilianza mawasiliano na Wakala Mwendeshaji wa Bandari anayemilikiwa na Serikali ya Dubai (DP World) ili kuvunja mkataba wa kuendesha Bandari ya Aden.

"Bodi ya Ghuba ya Aden Ports Corp imeamua kufuta makubaliano na DP World. Kuna mawasiliano na DP World ili kukamilisha mchakato wa kughairi makubaliano hayo kwa amani," afisa aliyekataa kutajwa jina aliiambia Reuters.

Alisema pande hizo mbili zitatumia usuluhishi wa kimataifa iwapo haziwezi kufikia muafaka. Msemaji wa DP alipotafutwa kujibu swali la Reuters, alisema "Hatutoi maoni juu ya uvumi wa vyombo vya habari."

Mnamo Juni shirika la kupambana na ufisadi la Yemen lilisema lingeliomba Bunge kusaidia kufuta Mkataba huo na kampuni ya DP World ambayo ni ya tatu kwa ukubwa kwa uendeshaji Bandari duniani, huku ikidai kampuni hiyo imeshindwa kutekeleza miradi ya uwekezaji kwa wakati. Wakati huo, DP World ilisema madai hayo yalikuwa "ya kupotosha na hayana msingi".

==============

The port authority in the Yemeni city of Aden has begun contacts with Dubai government-owned port operator DP World on cancelling a contract to manage Aden port, a senior Yemeni transport ministry official said on Sunday.

“The board of Gulf of Aden Ports Corp decided to cancel the agreement with DP World. There are contacts with DP World to complete the process of cancellation amicably,” the official, who declined to be named under briefing rules, told Reuters.

He said the decision had been taken on Saturday and the two parties would use international arbitration if they could not reach an agreement.

In response to a Reuters query, a DP World spokeswoman said on Sunday: “We do not comment on media speculation.”

In June the impoverished country’s anti-corruption body said it would ask parliament to cancel the deal with the world’s third largest port operator, claiming the company had failed to carry out investment projects on time. At the time, DP World said the allegations were “misleading and unfounded”.

Yemen, which has been mired in political strife during the Arab uprisings over the past year, signed a contract with DP World in 2008 to develop and run the port, whose strategic location at the mouth of the Red Sea once made it a vital stop for ships bound for the Suez Canal. The agreement stipulates $220 million of investment to develop the port.

Early this year Yemeni transport minister Waed Abdullah Bathib told Reuters the company had missed a target of raising container capacity to 900,000 20-foot equivalent container units by the end of 2011, and had failed to build and provide infrastructure as specified in the 2008 agreement.

REUTERS
 
.......... kampuni ya DP World ambayo ni ya tatu kwa ukubwa kwa uendeshaji Bandari duniani, huku ikidai kampuni hiyo imeshindwa kutekeleza miradi ya uwekezaji kwa wakati. Wakati huo, DP World ilisema madai hayo yalikuwa "ya kupotosha na hayana msingi".
Kwa sifa ya kuwa watatu tu kidunia, tuwape nafasi inawezekana hapa wakafanya vizuri zaidi
 
Kwa sifa ya kuwa watatu tu kidunia, tuwape nafasi inawezekana hapa wakafanya vizuri zaidi
Nyie ndio aina ya watu mnaowapatia viongozi mamlaka kwa kigezo kwamba yeye ni tajiri, kwa hiyo mnategemea atagawana nanyi utajiri wake. Shame!
 
Yani kwa sababu kuna mtu alisitisha mkataba na CRDB kwa kufunga akaunti na kutoa pesa zake zote ndio iwe sababu ya mini kutofungua akaunti ya CRDB?
 
Nyie ndio aina ya watu mnaowapatia viongozi mamlaka kwa kigezo kwamba yeye ni tajiri, kwa hiyo mnategemea atagawana nanyi utajiri wake. Shame!
Exposure ndio kila kitu katika kupiga hatua; sasa wewe uchague masikini wakati yeye mwenyewe ameshindwa kujikomboa kwenye umasikini alionao, ndio aje akudanganye ya kuwa ataondoa umasikini; wakati wa kwake mwenyewe tu umemshinda 😀
 
Exposure ndio kila kitu katika kupiga hatua; sasa wewe uchague masikini wakati yeye mwenyewe ameshindwa kujikomboa kwenye umasikini alionao, ndio aje akudanganye ya kuwa ataondoa umasikini; wakati wa kwake mwenyewe tu umemshinda 😀
Kama ndiyo hivyo, mbona basi aheri afadhali tumchague Elon Musk awe rais wetu kabisa, tuachane na hawa ambao, according to you, ^hawana exposure!^

NB: Elon Musk ana ^exposure^ ya kutembelea Planet Mars. If you know, you know!
 
Back
Top Bottom