Mwaka 2015 ilikuwa ni aibu kuvaa nguo za kijani wakati 2020 ni ufahari mkubwa

Mwaka 2015 ilikuwa ni aibu kuvaa nguo za kijani wakati 2020 ni ufahari mkubwa

Mpaka kesho kuvaa nguo za CCM ni aibu na fedhea kubwa kwa watu wenye akili zao.
 
Mpasuko utaanzia wapi kwa chama kama hiki ambacho hakina makundi?
wewe ni kama chawa tu wa sisiemu, hujui chochote kinachoendelea ndani ya sisiemu we kazi yako ni kuvaa tu manguo ya kijani na kuanza kushabikia upuuzi..ukweli n kwamba ndani ya sisiemu kuna mpasuko mkubwa mno..hv unaweza ukaniambia kwanini membe amefukizwa sisiem, kwann kinana ameondolewa ndani ya chama kwa muda kwanini akina nape na makamba walionywaa,,,,,
 
wewe ni kama chawa tu wa sisiemu, hujui chochote kinachoendelea ndani ya sisiemu we kazi yako ni kuvaa tu manguo ya kijani na kuanza kushabikia upuuzi..ukweli n kwamba ndani ya sisiemu kuna mpasuko mkubwa mno..hv unaweza ukaniambia kwanini membe amefukizwa sisiem, kwann kinana ameondolewa ndani ya chama kwa muda kwanini akina nape na makamba walionywaa,,,,,
wewe ni msemaji wao?Tuambie basi
 
Mimi sio mwanachama wa chama chochote ila siwezi kuipigia ccm kura,kamwe!
 
Dah ila kweli ivumayo sana hupasuka, yaani kitaa hamna tena chochote kinachoashiria uhai wa Chadema. Sio gwanda, scarf wala bendera nyuma ya bodaboda. Hakuna anaejihusisha na chadema tena hadi bodaboda wamewatenga makamanda.
Chadema ilizaliwa, ikalelewa na walezi wasanii ikadumaa sasa inaelekea kufa. Poleni ndugu, jamaa na marafiki.
Wakati wewe unajitia ujinga hapa!, Mabwana zako wakubwa wanapata joto ya jiwe huko, Ndo maana unaona kesi nyingi hazina kichwa Wala miguu...maamuzi ya aibu huko court, Ndo maana unaona Jiwe anaagiza vitu vya hovyo sana wapinzani wafanyiwe kisa uoga wake tu!! we unayatoa hapa! vibwengo wenzio Wana agiza police washushe hizo bendera umezizungumzia hapa, Mtanzania anapovaa Shati la khaki, Utaona Askari wanavojistukia( wanaweweseka). Wakati wewe unahara hapa, m/kiti wenu anazidi kupata frustration maana anahangaika kuiua CDM kwa njia yoyote lkn ndo kwaanza anajikuta "kichaa" chake (Alikiri yeye ni hivyo..) kinazidi. Unaposikia CDM ni Mpango wa Mungu, elewa kwa lugha hii!!.😎
 
CCM ilikuwa imefikishwa pabaya kiasi cha mtu aliyekuwa anavaa shati au kitenge cha kijani alirushiwa mawe.
Leo hii tunaona maelfu ya wananchi wakiona fahari kubwa kuvaa jezi za kijani na wanajitokeza kwa wingi ili wapate nafasi ya kupeperusha bendera za Chama Kubwa.
Sasa HV zinavaliwa,sio kutokana na ubora wa chama,au mazuri waliyotenda,
Sasa HV siasa ndio ajira nono iliyobaki,baada ya huyu jamaaa kuaribu uchumi tangu 2015,
Vijana wanakimbilia huko,maana ndio kwenye ulaji,kwanza sifia,uonwe,uteuliwe(Hassan Ngoma,Jerry Muro)au kagombee ubunge.
 
CCM ilikuwa imefikishwa pabaya kiasi cha mtu aliyekuwa anavaa shati au kitenge cha kijani alirushiwa mawe.
Leo hii tunaona maelfu ya wananchi wakiona fahari kubwa kuvaa jezi za kijani na wanajitokeza kwa wingi ili wapate nafasi ya kupeperusha bendera za Chama Kubwa.
yeah...kwa msaada wa mapolisi!
 
Mpasuko utaanzia wapi kwa chama kama hiki ambacho hakina makundi?

Kama upo Lumumba basi wewe ni kaimu mlinzi endeleeni kusafisha njia cdm wakija wanachukua kila kitu nanyi wenyeji mkiachwa kuendelea kulipwa 3000 maana m/kiti wenu aliwahi sema huko vichwanu mwenu hakuna kitu
 
Green is life, without green no photosynthesis, and without photosynthesis no life.

Basic science!!

Natania tu jamani

Wewe ulipata capital F kwenye biology kwa hiyo unataka kutuaminisha kwamba ukichukua lile shati la sisiem lina Chlorophyl inayopelekea kufanyika photosynthesis in presence of Sunlight?
Ndo maana M/kiti wenu anawaburuza kama matenga ya hoho mnabaki kukenua huku mmekunja sura
 
Watia nia wamekuwa wengi sababu wengi wao wanapenda Kitonga(mteremko) wanadhani watabebwa na Mwenyekiti wao hata kama hawapendwi au hawako vizuri.
Wanategemea ya serikali za mitaa kupita bila ....
Wanaamini haitakubalika wapinzani kushinda ubunge na udiwani 'by hooks or by crooks' kumbe wanajidanganya. Magufuli hatakubali kuchafuka kwa kulazimisha mtu asiyekubalika.

Kwenda kusumbuliwa The Hague Tribunal Court sababu ya mtu mwingine baada ya kumaliza muda wako wa kazi siyo jambo zuri ni bora kurudi kijijini kula mafao huku ukiwalisha tausi wako chakula kwa amani kabisa.
Leo kawakana kabisa, kasema hajamtuma mtu akagombee, he is very smart hawezi kunasa mtego huo kizembe.

Tuache unafiki Mwenyekiti wenu anakubalika sana na wengi hata nje ya chama.
 
Green is life, without green no photosynthesis, and without photosynthesis no life.

Basic science!!

Natania tu jamani
After photosynthesis you get Sugar and Oxygen...
Thanks to Chloroplasts!
 
Ni salamu na salutation rasmi ya wanaCCM Kwa Magufuli
 
Back
Top Bottom