Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe ni kama chawa tu wa sisiemu, hujui chochote kinachoendelea ndani ya sisiemu we kazi yako ni kuvaa tu manguo ya kijani na kuanza kushabikia upuuzi..ukweli n kwamba ndani ya sisiemu kuna mpasuko mkubwa mno..hv unaweza ukaniambia kwanini membe amefukizwa sisiem, kwann kinana ameondolewa ndani ya chama kwa muda kwanini akina nape na makamba walionywaa,,,,,Mpasuko utaanzia wapi kwa chama kama hiki ambacho hakina makundi?
wewe ni msemaji wao?Tuambie basiwewe ni kama chawa tu wa sisiemu, hujui chochote kinachoendelea ndani ya sisiemu we kazi yako ni kuvaa tu manguo ya kijani na kuanza kushabikia upuuzi..ukweli n kwamba ndani ya sisiemu kuna mpasuko mkubwa mno..hv unaweza ukaniambia kwanini membe amefukizwa sisiem, kwann kinana ameondolewa ndani ya chama kwa muda kwanini akina nape na makamba walionywaa,,,,,
Wakati wewe unajitia ujinga hapa!, Mabwana zako wakubwa wanapata joto ya jiwe huko, Ndo maana unaona kesi nyingi hazina kichwa Wala miguu...maamuzi ya aibu huko court, Ndo maana unaona Jiwe anaagiza vitu vya hovyo sana wapinzani wafanyiwe kisa uoga wake tu!! we unayatoa hapa! vibwengo wenzio Wana agiza police washushe hizo bendera umezizungumzia hapa, Mtanzania anapovaa Shati la khaki, Utaona Askari wanavojistukia( wanaweweseka). Wakati wewe unahara hapa, m/kiti wenu anazidi kupata frustration maana anahangaika kuiua CDM kwa njia yoyote lkn ndo kwaanza anajikuta "kichaa" chake (Alikiri yeye ni hivyo..) kinazidi. Unaposikia CDM ni Mpango wa Mungu, elewa kwa lugha hii!!.😎Dah ila kweli ivumayo sana hupasuka, yaani kitaa hamna tena chochote kinachoashiria uhai wa Chadema. Sio gwanda, scarf wala bendera nyuma ya bodaboda. Hakuna anaejihusisha na chadema tena hadi bodaboda wamewatenga makamanda.
Chadema ilizaliwa, ikalelewa na walezi wasanii ikadumaa sasa inaelekea kufa. Poleni ndugu, jamaa na marafiki.
Sasa HV zinavaliwa,sio kutokana na ubora wa chama,au mazuri waliyotenda,CCM ilikuwa imefikishwa pabaya kiasi cha mtu aliyekuwa anavaa shati au kitenge cha kijani alirushiwa mawe.
Leo hii tunaona maelfu ya wananchi wakiona fahari kubwa kuvaa jezi za kijani na wanajitokeza kwa wingi ili wapate nafasi ya kupeperusha bendera za Chama Kubwa.
yeah...kwa msaada wa mapolisi!CCM ilikuwa imefikishwa pabaya kiasi cha mtu aliyekuwa anavaa shati au kitenge cha kijani alirushiwa mawe.
Leo hii tunaona maelfu ya wananchi wakiona fahari kubwa kuvaa jezi za kijani na wanajitokeza kwa wingi ili wapate nafasi ya kupeperusha bendera za Chama Kubwa.
Green is wonderful.
Mpasuko utaanzia wapi kwa chama kama hiki ambacho hakina makundi?
Green is life, without green no photosynthesis, and without photosynthesis no life.
Basic science!!
Natania tu jamani