Neema ya Magufuli ya kupendwa na Wananchi na Wapinzani imeishia 2015. Magufuli alibebwa na sifa ya utendaji kazi na kuwa waziri asiye kuwa na makuu siku zote. Kwa kweli alipendwa na kila kada.
Sasa wengi ni mashahidi ingawa amefanya mambo mengi mazuri kipindi cha 2015/2020, wananchi wengi wamejuta. Hawana hamu na Magufuli tena. Karibia kila mtanzania wa kawaida ameguswa, orodha ni kubwa.
Hivi sasa, wananchi wanaomba Mungu afanye miujiza huyu jamaa apumzike apishe wengine. Wananchi wanataka ustawi wao na jamii zao. Wanahitaji furaha, wanahitaji Uhuru, wamechoka kufokewa na kudharilishwa.
Ee Mungu, Sikia kilio chetu watoto wako tunaangamia!
Sasa wengi ni mashahidi ingawa amefanya mambo mengi mazuri kipindi cha 2015/2020, wananchi wengi wamejuta. Hawana hamu na Magufuli tena. Karibia kila mtanzania wa kawaida ameguswa, orodha ni kubwa.
Hivi sasa, wananchi wanaomba Mungu afanye miujiza huyu jamaa apumzike apishe wengine. Wananchi wanataka ustawi wao na jamii zao. Wanahitaji furaha, wanahitaji Uhuru, wamechoka kufokewa na kudharilishwa.
Ee Mungu, Sikia kilio chetu watoto wako tunaangamia!