Uchaguzi 2020 Mwaka 2015 wapinzani waliipinga CCM sio mgombea. Mwaka 2020, upepo umebadilika

Uchaguzi 2020 Mwaka 2015 wapinzani waliipinga CCM sio mgombea. Mwaka 2020, upepo umebadilika

Huo ndo ukweli wenyewe, hakuna mtanzania anayemhitaji Meko kwa sasa. Sijui wahutu wenzie.
Hiyo comment yako hujamalizia vizuri, mpo pia nchi hii? msije mkatuletea yale ya nchi za jirani zetu.
 
Kwa nini mliprint fomu moja. Mngeruhusu wanaccm wengine wachukue fomu, ndo mngejua maana ya wajumbe
Hawakujitokeza kuomba fomu zilkuwa kibao ziko kwenye hard disk ya computer CCM tuna print on demand sisi sio mafisadi tofauti na Chadema Wana print mi fomu ya ugombea Uraisi,ubunge na udiwani ili stationery zao zipate pesa

Watu hawakujitokeza nitajie mwana CCM yeyote aliyejitokeza akanyimwa fomu
Chadema msijilinganishe na CCM nyie mliprint mi fomu kibao imejaa ma godown wanakula panya
 
Wabongo wanachagua vyama kwahiyo huyo Magu watamchagua kutokana na mahaba yao kwa ccm,k ama uchaguzi uliyopita watu walivyompigia kura Lowassa japo hawakuwahi kudhani kama chama chao hata kingefikiria kumleta Lowassa ila hawakuwa na jinsi wakakubali na kumpigia kura.
 
Neema ya Magufuli ya kupendwa na wananchi na wapinzani imeishia 2015. Magufuli alibebwa na sifa ya utendaji kazi na kuwa waziri asiye kuwa na makuu siku zote. Kwa kweli alipendwa na kila kada...
Huna mamlaka ya kuwasemea watanzania.

Kama umemchoka ni wewe.

Nakuhakikishia uchaguzi Magufuri atapata A ( kwa wataalam wa hesabu wanajua
 
Neema ya Magufuli ya kupendwa na wananchi na wapinzani imeishia 2015. Magufuli alibebwa na sifa ya utendaji kazi na kuwa waziri asiye kuwa na makuu siku zote. Kwa kweli alipendwa na kila kada...
Ongea kwa Takwimu ubaoni Sio kisa wewe Na CHADEMA wenzio hammpendi Magu useme Watu Wengi Mimi Na washikaji kitaaa Tunamkubali Sana Magu
 
Huyu jamaa amechokwa na wanananchi walio wengi, 2015 tulijua ni binadamu mwenzetu. Akiondoka madarakani nchi nzima italipuka kwa shangwe.
Wananchi gani hao unaowasemea ? wengine tuna muhitaji sana na aendelea miaka 15 mingine.
 
Back
Top Bottom