Mwaka 2017, Fujairah iliamua kusitisha mkataba na DP World kuendesha Bandari yake

Mwaka 2017, Fujairah iliamua kusitisha mkataba na DP World kuendesha Bandari yake

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
1686137454901.png


Bandari ya Fujairah na DP World ambaye ni mmoja wa waendeshaji wakuu wa bandari duniani, walikubaliana na kusitisha Mkataba wa Uendeshaji uliosainiwa mwaka 2005 kwa lengo la kujenga, kuendesha na kuhamisha (BOT) kupanua na kuendeleza Kituo cha Kontena cha Fujairah bandarini kwa ajili ya kubeba na kusafirisha makontena.

Pande zote mbili zilikufikia makubaliano hayo baada ya kukamilisha uhamishaji wa shughuli kutoka DP World kwenda kwa mamlaka ya Bandari ya Fujairah.

DP World iliripoti kupata faida ya Tsh. Trilioni 2.678 iliyotokana na umiliki wa hisa zake, ikiwa ni ongezeko la asilimia 27.6.

Ikumbukwe, Fujairah ni kati ya Falme zilizopo ndani ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
 
Back
Top Bottom