Mwaka 2019 kama hukushika FEDHA basi ulishika hata ADABU

Mpauko

R.I.P
Joined
Jan 19, 2019
Posts
2,323
Reaction score
3,428
Ama kweli misemo ya waswahili wakati mwingine ina ukweli ndani yake....

Eti wanasema USIPOSHIKA FEDHA BASI UTASHIKA HATA ADABU,na tena ati ni LAZIMA ushike kimoja kati ya hivyo!

Wale walioshika fedha mjimwambafai hapa tuone nani zaidi!!! Wale wenzangu tulioshika adabu tufarijiane hapa...angalau walioshika FEDHA huu mwaka watualike KIPUNGA!


Alamsik

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pesa nimeshika ila adabu ndy naishika saizi maana nimehama mkoa sijui fursa zake, ingawa lengo la kuhama siyo baya ni kupata elimu, but cha moto nakipata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…