Mwaka 2020 ni jambo gani hutolisahau?

Mwaka 2020 ni jambo gani hutolisahau?

Kumbe uliumwa Corona shosti Pole sana
Wakuu hope kila mtu yupo katika hali njema na kwa wale wanaopitia kwenye matatizo ya kimaisha iwe maradhi au hali ngumu ya kiuchumi hope Mungu ataweka unafuu.

Mwaka 2020 ndio tunaelekea kuumaliza na kuukaribisha mwaka 2021.

thd hii tujadili kwa kila mmoja wetu ni jambo/mambo gani ambayo hatoyasahau katika mwaka huu wa 2020?

Sio lazima liwe jambo baya inaweza kua hata jambo ulilolitimiza la kimafanikio mema katika maisha.

Binafsi sitosahau janga la Corona ambalo limeleta athari kubwa sana kimaisha na kiuchumi kwa huku ninapoishi,

Je, wewe binafsi jambo gani hutolisahau na una mipango gani kulirekebisha ili lisije kujirudia tena kama ni jambo baya?
 
Sitosahau ni mwaka niliopata hela kiwango ambacho sijawahi kuipata na mwaka niliovunjiwa na kuibiwa usiku ila bahati sikuwepo ndani na baadae polisi wakanigeuka na kutaka kunishikilia kwa njaa zao tu
 
Kumbe uliumwa Corona shosti Pole sana
Unaona sasa jinsi ulivyo zuzu? Yaani wewe akili huna kabisa,rudia tena kusoma hiyo paragraph ya 5

Umethibitisha uzuzu wako kakituko ka JF.

Wewe ni wakuonewa huruma aisee.
 
Shosti Pole😂😂😂😂
Unaona sasa jinsi ulivyo zuzu? Yaani wewe akili huna kabisa,rudia tena kusoma hiyo paragraph ya 5

Umethibitisha uzuzu wako kakituko ka JF.

Wewe ni wakuonewa huruma aisee.
 
Shosti Pole😂😂😂😂
Zuzu umenikimbia kule! Dozi niliyokupa umeweweseka sana,

Nimekwambia wewe ni kituko humu jf,kimtu cha hovyo hovyo,nakusubiri kule huko kwingine sitokujibu,
Njoo kule niendeleze matibabu japo upate nafuu.
 
Shostie pole😂😂😂😂
Zuzu umenikimbia kule! Dozi niliyokupa umeweweseka sana,

Nimekwambia wewe ni kituko humu jf,kimtu cha hovyo hovyo,nakusubiri kule huko kwingine sitokujibu,
Njoo kule niendeleze matibabu japo upate nafuu.
 
Wakuu hope kila mtu yupo katika hali njema na kwa wale wanaopitia kwenye matatizo ya kimaisha iwe maradhi au hali ngumu ya kiuchumi hope Mungu ataweka unafuu.

Mwaka 2020 ndio tunaelekea kuumaliza na kuukaribisha mwaka 2021.

thd hii tujadili kwa kila mmoja wetu ni jambo/mambo gani ambayo hatoyasahau katika mwaka huu wa 2020?

Sio lazima liwe jambo baya inaweza kua hata jambo ulilolitimiza la kimafanikio mema katika maisha.

Binafsi sitosahau janga la Corona ambalo limeleta athari kubwa sana kimaisha na kiuchumi kwa huku ninapoishi,

Je, wewe binafsi jambo gani hutolisahau na una mipango gani kulirekebisha ili lisije kujirudia tena kama ni jambo baya?
April kuumwa , Covid, na Trump kupoteza uraisi
 
Back
Top Bottom