Uchaguzi 2020 Mwaka 2020 Tanzania inaweza kumwaga damu kwa hulka ya watawala

Uchaguzi 2020 Mwaka 2020 Tanzania inaweza kumwaga damu kwa hulka ya watawala

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Kwakuwa WATAWALA wetu wanapenda kutumia ubabe wa kidola na wanafanya hila nyingi kukaa madarakani na vyombo vya dola haviangalii haki na Sheria na bunge limewekwa mfukoni huku mahakama ikiwa Haina meno basi uchaguzi wa 2020 unaweza ukawa wa kumwaga damu hapa Tanzania.

Ni ukweli ulio wazi CCM haitakiwi kabisa Tanzania ndio maana wanawarubuni watanzania kila siku kwamba magu ni Mungu mtu ila wajiangalie mwaka huu watu hawatakubali ukikaa ukiwasikiliza vijana mitaani hakika wako tayari kabisa kuianzisha fujo Kama utawala huu utachezea haki yao.
Msiwaone wako kimya.
 
Kama CCM itaendelea kuitumia Polisiii kuwa ndiyo nguzo yao kuu ya kuwalinda watawala wao walioko madarakani..........

Badala ya wao Polisiiii kufanya kazi kwa mujibu wa Katiba ya nchi, wakitumia weledi wao kwa kufanya "fairness" kwa vyama vyote vya siasa na kuwalinda raia na mali zao bila ubaguzi wowote, kama wajibu wao mkuu kikatiba, basi "Indicators" zote zinaonyesha kuna uwezekano kwa asilimia 95, kwa Sisiem kuleta umwagikaji damu nchini
 
Kuombea amani huku unahujumu Mambo yanayoleta amani ni kujidanganya hebu ona kilichonishangaza kwenye serikali za mitaa halafu kifanyike uchaguzi mkuu watu watakatwa shingo mchana kweupe !
Enyi wapinzan lini mtasemea amani? Nyie kila kukicha kumwaga damu ....
 
Kuombea amani huku unahujumu Mambo yanayoleta amani ni kujidanganya hebu ona kilichonishangaza kwenye serikali za mitaa halafu kifanyike uchaguzi mkuu watu watakatwa shingo mchana kweupe !
Na akitoka magu majaliwa anaongoza ili mnyooke mnyooko mambweha wa mabepari umefikl utumbo then unatuletea
 
Fanyeni mlichofanya USM utaelewa

Wala sina chama, si CCM, CHADEMA nk, ila hujatumia busara kuanzisha uzi wako. Mwaga damu wewe na familia yake tuache sisi tuendelee na mihangaiko ya maisha. Kumwaga damu usilione ni jambo dogo kama ulivoinama hapo na kuanza kuandika, bloodshed is a terrafic issue, tragic and cumbersome one.
 
Kuombea amani huku unahujumu Mambo yanayoleta amani ni kujidanganya hebu ona kilichonishangaza kwenye serikali za mitaa halafu kifanyike uchaguzi mkuu watu watakatwa shingo mchana kweupe !
2015 ndio kulikuwa na tension kubwa. Kama vurugu mjini kama Dar ndio unaoweza kuanzisha timbwili sio Katavi au Manyala.
Na vijana wa Dar ni wale Chinga sio Graduate wasio na kazi hao hawawezi kuji organize wafanye vurugu lolote, sasa Chinga n shwari
1. Walipewa Id biashara kokote
2. Wanauzia mlangoni mwa duka la Mhindi au whoever
3. Mgambo wa city hawawagusi
Nani atawashawishi wafanye fujo?
Haya mawazo kaa nayo tu maana hata wewe unaonyesha unategemea vijana ambao kimsingi hawapo. Hawa wenye fake Id wanaafanyia fujo humuhumu kwenye mitandao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania sasa 80% wanajtambua sio mjin Wala kijjn wote wanajtambua nyie jkologeni mtangulie kwny vurugu wajukuu watakuja kuyasimulia .... Mnafikili tunapenda fujo zenu eee
 
Enyi wapinzan lini mtasemea amani? Nyie kila kukicha kumwaga damu ....

Lini ccm mtaacha kuhubiri amani humu mkipora chaguzi na kulazimisha kukaa madarakani bila ridhaa ya wengi? Naona huwa mnahubiri amani lakini ukiangalia vizuri sio amani, bali mnataka watu wawe waoga ili muendelee kuwatala mtakavyo bila ridhaa yao.
 
Watanzania sasa 80% wanajtambua sio mjin Wala kijjn wote wanajtambua nyie jkologeni mtangulie kwny vurugu wajukuu watakuja kuyasimulia .... Mnafikili tunapenda fujo zenu eee

Hiyo 80% ndio iliridhia kupewa viongozi bila kuwachagua kwa njia ya kura? Ngoja tu tutaelewana lugha.
 
Back
Top Bottom