nyundo2017
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 1,439
- 861
Keshakufa huyo hayupo duniani siyo bureUsirudie kutuletea unabii wa kipumbavu namna hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Keshakufa huyo hayupo duniani siyo bureUsirudie kutuletea unabii wa kipumbavu namna hii
waliorudsha form vzr mliwapga nyinyi kwa nyinyi tu tuwaeleweje? Kisingizio kbaoHiyo 80% ndio iliridhia kupewa viongozi bila kuwachagua kwa njia ya kura? Ngoja tu tutaelewana lugha.
waliorudsha form vzr mliwapga nyinyi kwa nyinyi tu tuwaeleweje? Kisingizio kbao
huna lolote nyie pganeni tu sisi maendeleo kwa watanzania tuachieniRudi shule ukajifunze kuandika kwanza.
huna lolote nyie pganeni tu sisi maendeleo kwa watanzania tuachieni
Ahahahahha umenifurahisha uliposema vijana wako tayari; yaani wewe haupo tayari.Kwakuwa WATAWALA wetu wanapenda kutumia ubabe wa kidola na wanafanya hila nyingi kukaa madarakani na vyombo vya dola haviangalii haki na Sheria na bunge limewekwa mfukoni huku mahakama ikiwa Haina meno basi uchaguzi wa 2020 unaweza ukawa wa kumwaga damu hapa Tanzania.
Ni ukweli ulio wazi CCM haitakiwi kabisa Tanzania ndio maana wanawarubuni watanzania kila siku kwamba magu ni Mungu mtu ila wajiangalie mwaka huu watu hawatakubali ukikaa ukiwasikiliza vijana mitaani hakika wako tayari kabisa kuianzisha fujo Kama utawala huu utachezea haki yao.
Msiwaone wako kimya.
I've very recently had a bad dream about a related/similar situation !!!!Kwakuwa WATAWALA wetu wanapenda kutumia ubabe wa kidola na wanafanya hila nyingi kukaa madarakani na vyombo vya dola haviangalii haki na Sheria na bunge limewekwa mfukoni huku mahakama ikiwa Haina meno basi uchaguzi wa 2020 unaweza ukawa wa kumwaga damu hapa Tanzania.
Ni ukweli ulio wazi CCM haitakiwi kabisa Tanzania ndio maana wanawarubuni watanzania kila siku kwamba magu ni Mungu mtu ila wajiangalie mwaka huu watu hawatakubali ukikaa ukiwasikiliza vijana mitaani hakika wako tayari kabisa kuianzisha fujo Kama utawala huu utachezea haki yao.
Msiwaone wako kimya.
So ccm ikitoka unashauri apewe yupi kwa mfano?!Kwakuwa WATAWALA wetu wanapenda kutumia ubabe wa kidola na wanafanya hila nyingi kukaa madarakani na vyombo vya dola haviangalii haki na Sheria na bunge limewekwa mfukoni huku mahakama ikiwa Haina meno basi uchaguzi wa 2020 unaweza ukawa wa kumwaga damu hapa Tanzania.
Ni ukweli ulio wazi CCM haitakiwi kabisa Tanzania ndio maana wanawarubuni watanzania kila siku kwamba magu ni Mungu mtu ila wajiangalie mwaka huu watu hawatakubali ukikaa ukiwasikiliza vijana mitaani hakika wako tayari kabisa kuianzisha fujo Kama utawala huu utachezea haki yao.
Msiwaone wako kimya.
Vita Takatifu inanukiaIwapo wapinzani tutaendelea kuwa makondoo hamna chochote kitatokea, lakini tukiamua kuwa mwisho wa kubambikiwa viongozi wasio na ridhaa yetu hapo
tutaheshimiana.
Amani si mnaimba nyie ccm huku nnaymvunja misingi yakeEnyi wapinzan lini mtasemea amani? Nyie kila kukicha kumwaga damu ....
Sina dharau lakini hii mijutul ambayo baada ya kufeli darasa la saba na kujiunga na ccm itatuletea machafuko nchiniRudi shule ukajifunze kuandika kwanza.
Kwakuwa WATAWALA wetu wanapenda kutumia ubabe wa kidola na wanafanya hila nyingi kukaa madarakani na vyombo vya dola haviangalii haki na Sheria na bunge limewekwa mfukoni huku mahakama ikiwa Haina meno basi uchaguzi wa 2020 unaweza ukawa wa kumwaga damu hapa Tanzania.
Ni ukweli ulio wazi CCM haitakiwi kabisa Tanzania ndio maana wanawarubuni watanzania kila siku kwamba magu ni Mungu mtu ila wajiangalie mwaka huu watu hawatakubali ukikaa ukiwasikiliza vijana mitaani hakika wako tayari kabisa kuianzisha fujo Kama utawala huu utachezea haki yao.
Msiwaone wako kimya.
Ongeza nyama ni mwaka mpya tule tushibeKuna kiongozi atakatalia madarakani baada ya kushindia kwenye sanduku la kura,huyo ndo atakaye leta machafuko japo hayatakuwa makubwa sana.
Yalitabiriwa kabla ya kuja kwa wakoloni na mtu mmoja kule Majita-Musoma anaitwa Mjee.Fatilieni kile alicho kisema
hakika aliyeshiba hajui njaa inafananaje mana anacheua tu harufu ya nyama chomaSio rahisi km unavofikili mkuu... By the way naomba Aman ktk uchaguz huo
Ombi langu akitoka magufuli madarakani waziri mkuu atuongoze Tena huyu nae anaweza kuleta mnyooko km jpm km unaumia umia tu wafanyabiashara wanatujali nyie pgeni porojo
hakuna vita hatujafikia hatua kusema ngoja nife ili mwanangu na mjukuu wangu waishi maisha wanayostahili kuishiNi mwaka wa nyota ya moto... Lolote laweza kuwaView attachment 1309529View attachment 1309530
Jr[emoji769]
Endelea na porojo zako. Wenzio tunaendelea kupiga kazi na tunasubiri kwa hamu Oktoba tukampe kura za kutosha Rais wetu mpendwa Magufuli.Kwakuwa WATAWALA wetu wanapenda kutumia ubabe wa kidola na wanafanya hila nyingi kukaa madarakani na vyombo vya dola haviangalii haki na Sheria na bunge limewekwa mfukoni huku mahakama ikiwa Haina meno basi uchaguzi wa 2020 unaweza ukawa wa kumwaga damu hapa Tanzania.
Ni ukweli ulio wazi CCM haitakiwi kabisa Tanzania ndio maana wanawarubuni watanzania kila siku kwamba magu ni Mungu mtu ila wajiangalie mwaka huu watu hawatakubali ukikaa ukiwasikiliza vijana mitaani hakika wako tayari kabisa kuianzisha fujo Kama utawala huu utachezea haki yao.
Msiwaone wako kimya.