Kuombea amani huku unahujumu Mambo yanayoleta amani ni kujidanganya hebu ona kilichotokea kwenye serikali za mitaa halafu kifanyike uchaguzi mkuu watu watakatwa shingo mchana kweupe !Sio rahisi km unavofikili mkuu... By the way naomba Aman ktk uchaguz huo
Enyi wapinzan lini mtasemea amani? Nyie kila kukicha kumwaga damu ....Kuombea amani huku unahujumu Mambo yanayoleta amani ni kujidanganya hebu ona kilichonishangaza kwenye serikali za mitaa halafu kifanyike uchaguzi mkuu watu watakatwa shingo mchana kweupe !
Na akitoka magu majaliwa anaongoza ili mnyooke mnyooko mambweha wa mabepari umefikl utumbo then unatuleteaKuombea amani huku unahujumu Mambo yanayoleta amani ni kujidanganya hebu ona kilichonishangaza kwenye serikali za mitaa halafu kifanyike uchaguzi mkuu watu watakatwa shingo mchana kweupe !
endeleeni kuvumilia bdo hamuwez kutuongoza labda baada ya karne kumi zijazoUvumiliv
Uvumilivu wa wapinzani ndio msingi wa amani
Fanyeni mlichofanya USM utaelewa
Wanaotaka kumwaga damu ni watawala, kwa ajili ya tamaa yao ya kuendelea kukaa madarakani kwa njia ovu na siyo wapinzani kama unavyodaiEnyi wapinzan lini mtasemea amani? Nyie kila kukicha kumwaga damu ....
2015 ndio kulikuwa na tension kubwa. Kama vurugu mjini kama Dar ndio unaoweza kuanzisha timbwili sio Katavi au Manyala.Kuombea amani huku unahujumu Mambo yanayoleta amani ni kujidanganya hebu ona kilichonishangaza kwenye serikali za mitaa halafu kifanyike uchaguzi mkuu watu watakatwa shingo mchana kweupe !
Ukwaju wa Azam umewashnda mnakuja kutapikia huku sio...Wanaotaka kumwaga damu ni watawala, kwa ajili ya tamaa yao ya kuendelea kukaa madarakani kwa njia ovu na siyo wapinzani kama unavyodai
Enyi wapinzan lini mtasemea amani? Nyie kila kukicha kumwaga damu ....
Watanzania sasa 80% wanajtambua sio mjin Wala kijjn wote wanajtambua nyie jkologeni mtangulie kwny vurugu wajukuu watakuja kuyasimulia .... Mnafikili tunapenda fujo zenu eee
Karibuni tunawasubiri kwa hamuIndicators zote zinaonyesha kuwa kweli uwezekano huo upo kwa asilimia 95, kwa kuwa Sisiem wameamua "kujibinafsisha" na kuifanya Polisiiii kuwa sawasawa na kitengo chao cha UVCCM!