Pale kati bwana patamu tuache masikhara, shetani mjanja sanaukimwi kuisha kabisa ni kazi ndogo ila pia ni ngumu sana maana ny…ge ni mbaya sana unaweza ukaja kuwaza ukimwi baada ya tendo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pale kati bwana patamu tuache masikhara, shetani mjanja sanaukimwi kuisha kabisa ni kazi ndogo ila pia ni ngumu sana maana ny…ge ni mbaya sana unaweza ukaja kuwaza ukimwi baada ya tendo
Uliendapata huduma au kutoa huduma?Eti kupima 10,000 ama 6,000 ukweli hali mbaya hasa sehemu kama Tandale kuna hospital moja nilienda kupima niliyoyakuta nikaogopa watu ni wagonjwa sana. Elimu ya kuhusu Ukimwi irudi upya.
Eti kupima 10,000 ama 6,000 ukweli hali mbaya hasa sehemu kama Tandale kuna hospital moja nilienda kupima niliyoyakuta nikaogopa watu ni wagonjwa sana. Elimu ya kuhusu U
kwani Shetani ndiye alipatengeneza ?Pale kati bwana patamu tuache masikhara, shetani mjanja sana
Hata mi mama mijitu mizima Katika mimama 1,000 itakuwepo miwili tu inayotumia condom,mingine iliyobaki inategemea maamuzi ya mwanaumeWasichana wengi kwenye mambo ya HIV hawako makini kabisa yani, ukikuta msichana anataka kutumia condom basi kwenye 100 ni mmoja au wawili., Juhudi zaidi zinahitajika, hali ni mbaya.
Ndio alotengenwza kirusikwani Shetani ndiye alipatengeneza ?
Shetani naye nahisi anashangaa sana tuhuma tunazompa kula siku
Kuna Uzi ulizungumzia Hilo...watu waliishia kumtukana mtoa mada.Vicoba vinachangia sana HIV.
Kupima HIV ni bureEti kupima 10,000 ama 6,000 ukweli hali mbaya hasa sehemu kama Tandale kuna hospital moja nilienda kupima niliyoyakuta nikaogopa watu ni wagonjwa sana. Elimu ya kuhusu Ukimwi irudi upya.
Nani kakuambia? Labda hospital za serikali nenda pharmacy wanauza zile kit mpaka uwa najiuliza toka lini zimekuwa biashara.Kupima HIV ni bure
kirusi kilitengenezwa na binadamu sio ShetaniNdio alotengenwza kirusi
Condom Wengi hutegemea maamuz ya mwanaume, akikataa ndo imetoka hiyoWasichana wengi kwenye mambo ya HIV hawako makini kabisa yani, ukikuta msichana anataka kutumia condom basi kwenye 100 ni mmoja au wawili., Juhudi zaidi zinahitajika, hali ni mbaya.
Kondom bado ni changamoto, zinapatikana tu mjini.Upimaji uwe rahisi kama upatikanaji condom ulivyo rahisi.
Ndio maana ikaitwa hospital ya binafsi, that is private good and the other one is public goodNani kakuambia? Labda hospital za serikali nenda pharmacy wanauza zile kit mpaka uwa najiuliza toka lini zimekuwa biashara.