Mwaka 2022, Nchi 10 tu Afrika ikiwemo Tanzania zilipokea 46.4% ya Misaada yote ya Maendeleo kutoka nchi 24 za nje

Mwaka 2022, Nchi 10 tu Afrika ikiwemo Tanzania zilipokea 46.4% ya Misaada yote ya Maendeleo kutoka nchi 24 za nje

Mtoa Taarifa

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2024
Posts
213
Reaction score
671
1728716543727.png

Ripoti ya Taasisi ya Mo Ibrahim Foundation (MIF) imeonesha kwa kipindi cha mwaka 2022, nchi 10 tu za Afrika zilipokea karibu nusu ya Misaada yote ya Kimaendeleo kutoka kwa Wafadhili wa Nje iliyokadiriwa kufikia zaidi ya Tsh. Trilioni 103.34.

Aidha, kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Ushirikiano wa Kiuchumi na Maendeleo (OECD) misaada hiyo ilitoka zaidi kupitia Kamati ya Usimamizi wa Maendeleo (DAC) yenye nchi 24 ambazo ni Australia, Austria, Belgium, Canada, Denmark, Umoja wa Ulaya, Finland, France, Germany, Ugiriki, Ireland, Italy, Japan, South Korea, Luxembourg, Netherlands, New Zealand, Norway, Portugal, Spain, Sweden, Switzerland, United Kingdom na Marekani.


In 2022:

• Egypt received the largest amount of ODA of any African country, totalling

$7.7 billion – 70.2% of that coming from non-DAC countries.

• Ethiopia received the second largest amount of ODA in Africa, totalling

$5.3 billion – more than half of it coming from DAC countries.

• Nigeria received the third largest amount of ODA of any African country totalling $5.0 billion – 69.9% of it coming from multilaterals.

10 African countries, hosting over 70% of the continent’s population, received nearly half (46.4%) of total ODA to the continent in 202. Global net financial transfers to developing countries (including new lending and ODA) will fall by over $100 billion in the next two years.

Chanzo: OECD, MIF, UNDESA (2022)
 
View attachment 3122409
Ripoti ya Taasisi ya Mo Ibrahim Foundation (MIF) imeonesha kwa kipindi cha mwaka 2022, nchi 10 tu za Afrika zilipokea karibu nusu ya Misaada yote ya Kimaendeleo kutoka kwa Wafadhili wa Nje iliyokadiriwa kufikia zaidi ya Tsh. Trilioni 103.34.

Aidha, kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Ushirikiano wa Kiuchumi na Maendeleo (OECD) misaada hiyo ilitoka zaidi kupitia Kamati ya Usimamizi wa Maendeleo (DAC) yenye nchi 24 ambazo ni Australia, Austria, Belgium, Canada, Denmark, Umoja wa Ulaya, Finland, France, Germany, Ugiriki, Ireland, Italy, Japan, South Korea, Luxembourg, Netherlands, New Zealand, Norway, Portugal, Spain, Sweden, Switzerland, United Kingdom na Marekani.



In 2022:

• Egypt received the largest amount of ODA of any African country, totalling

$7.7 billion – 70.2% of that coming from non-DAC countries.

• Ethiopia received the second largest amount of ODA in Africa, totalling

$5.3 billion – more than half of it coming from DAC countries.

• Nigeria received the third largest amount of ODA of any African country totalling $5.0 billion – 69.9% of it coming from multilaterals.

10 African countries, hosting over 70% of the continent’s population, received nearly half (46.4%) of total ODA to the continent in 202. Global net financial transfers to developing countries (including new lending and ODA) will fall by over $100 billion in the next two years.

Chanzo: OECD, MIF, UNDESA (2022)
Utawala wetu wa hapa nyumbani Hao wanawaita kuwa ni 'Mabeberu,' Ila marafiki zao ni Wachina, Cuba, Urusi na Korea ya Kaskazini.
 
Wanasaidiwa na wazungu ila wanaenda kula bata Dubai na Guangzhou. Mwafrika ni changamoto sana
 
Binafs sjajua faida yake yakihivo coz hata kipind hatukopi mambo n yaleyale tu na sasa tena pengine n zaid
 
Back
Top Bottom