Yani anaenitaka simtaki, naemtaka hanitaki yani tafraniMahusiano yamegoma kama mwaka wenyewe ilivyo haugawanyiki
huyo Donatila ataniambia tuende kwanza kwa kuhani musa 😂Itabidi mleta thread afanye namna yoyote ile hata ndugu akupatie😅
Na yeye anaruhusiwa kuwa na vigezo vyake kwa utakayempatia?😅Inawezekana ila vigezo na masharti ya upako kuzingatiwa[emoji1787][emoji1787]
Yani anavunjiwa simu kizembe hivyo na ni chuga mokoNaona unachoma sindano kwa kidonda
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sharti awe na kitandaMtaka cha uvunguni.......??
Hujaliwa kimasihara?Kituko changu ni..
Simba kuamini mvua inawapa ushindi [emoji1787][emoji1787]
Au nasema uongo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Watanipa tu vinginevyo wamuoe wenyewe
Kituko changu ni..
Simba kuamini mvua inawapa ushindi [emoji1787][emoji1787]
HahahahahaKituko changu ni..
Simba kuamini mvua inawapa ushindi [emoji1787][emoji1787]