ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
FIcha ujinga wako!Kila mtu na maisha yake kama wao wanasafiri na ndege sisi inatuhusu nini?
Jitahidi kila mtu asiujue kuwa huna akili😎Kila mtu na maisha yake kama wao wanasafiri na ndege sisi inatuhusu nini?
Sawa lakini Haina maana ya kwamba watanzania hatupandi sana ndege kwa ubora na usalama wa Barbara, I think 🤔 sababu ni Individual financial capabilityKusafiri kwa ndege kwa baadhi ya nchi ni lazima wala sio anasa kutokana na ubovu wa miundombinu na usalama. Wakongo wanapanda sana ndege kutokana na ubovu wa barabara zao na usalama mdogo. Hivyo hauwezi kusema wakongo ni matajiri sana kuliko watanzania kisa wanapanda ndege.
Umeanza kwa pumba then ukamaliza kwa points 3Passport ni anasa bongo utataja hadi jina la jirani wa nyanya ako aliyefariki 1947.
Wabongo wengi hawana exposure. Wamejazwa ujinga bongo ni mbinguni kila mtu anatuonea wivu kwa mali zetu, mali zenyewe hamna. So wengi wamerudhikana kana tu bongo kama nyanya.
And of course umaskini. GDP ya Kenya almost doubles ile ya Tanzagiza.
Hao wenzao wanaenda wapi? Watu wanasafiri kila pande ya Dunia kutafuta biashy,Elimu na Utalii unasema waende wapi?Watanzania wanasafiri kwa ndege wakienda wapi??
Tangu lini ndege zikawa hazipo? Wasafiri ndio hawapoNdege zenyewe ziko wapi?
Umeanza kwa pumba then ukamaliza kwa points 3
I think GDP ndo sababu kubwa,,
Individual financial capability kwetu bado ni disaster, so lazima tuone kupanda ndege ni ANASA✌️
Kenya Kuna ufukara wa kutisha,hata kula shida,kwa nini wasikimbie kwao!?Kwa Mujibu wa takwimu za usafiri zilizotolewa na mamlaka ya anga ya Nchi zote ,inaonesha WaKenya wakitumia usafiri wa ndege mara 3 zaidi ya Watanzania ambapo takribani watu Milioni 12.3 Walisafiri Kwa Ndege huko Kenya wakowemo wageni zaidi ya mil.5 na raia zaidi ya mil.6.
View attachment 3050756
Kwa upande wa Tanzania ,mwaka huo huo takribani watu Mil.3.8 wakitumia usafiri wa ndege ambapo kati ya hao zaidi ya mil.2 ni wageni na raia ni chini ya mil.2.
Kwa takwimu hizi ,hivi ni kwamba Watanzania sisi ni maskini kiasi hicho au Kuna sababu zingine zinazofanya hatusafi Kwa Ndege?
Unaweza Kuta 90% ya Watanzania hawajawahi kuona tiketi ya ndege.Naomba kuwasilishwa 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/C9wu0Z2ou6d/?igsh=OHgzcnVyZXZjcmFk