The Knowledge Seeker
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 3,418
- 5,028
Unajua kuna mbinu nyingi huwa watawala hutumia kuongoza taifa na hii ikiwa ni mbinu namba moja. Swala la passport ni kuzungumkuti bongo kupata kama hutotoa rusha..Kwa mujibu wa takwimu za usafiri zilizotolewa na mamlaka ya anga ya Nchi zote inaonesha wakenya wakitumia usafiri wa ndege mara 3 zaidi ya Watanzania ambapo takribani watu Milioni 12.3 walisafiri kwa Ndege huko Kenya wakiwemo wageni zaidi ya mil. 5 na raia zaidi ya mil. 6.
Kwa upande wa Tanzania ,mwaka huo huo takribani watu Mil.3.8 wakitumia usafiri wa ndege ambapo kati ya hao zaidi ya mil.2 ni wageni na raia ni chini ya mil.2.
Kwa takwimu hizi ,hivi ni kwamba Watanzania sisi ni maskini kiasi hicho au Kuna sababu zingine zinazofanya hatusafi Kwa Ndege?
Unaweza Kuta 90% ya Watanzania hawajawahi kuona tiketi ya ndege. Naomba kuwasilisha 👇👇
Jiulize watanzania milioni 10 tukaenda nje alafu tukapate expore huko na kirudi huku, unadhani ujinga ujinga mdogo utakuwepo bongo... Ili serikali iweze kuongoza inahitaji watu wasiokuwa na exposure