Mwaka 2025 nawakumbusha shetani na mali zake anaaibisha, anaumiza, anatesa. Vijana tuendelee kuyatafuta maisha kwa jasho halali

Mwaka 2025 nawakumbusha shetani na mali zake anaaibisha, anaumiza, anatesa. Vijana tuendelee kuyatafuta maisha kwa jasho halali

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Hakuna vijana wanaopitia Magumu kama Hawa wa Dar , Vijana wa Dar wanataka mafanikio ya haraka sana, wanaumizwa wanapoona watu waliwafaham miezi michache nyuma wakiwa hawana kitu, sasa wanawaona Mitandaoni wakiwa wenye Mali, Magari mazuri, majumba mazuri.

Itakufaa nini kua Utajiri wa haraka sana lakini Umaarufu wako ukazima ghafla Ndani ya miaka 15 tu?. Kisha Mali yako zikayeyuka kisipatikane hata Cha kurithika?

Najaribu kusema hivi, hatupaswi kuishi Maisha yetu Kwa kuyalinganisha na wengine Kwa sababu hatima yake ni Maumivu.

Kioo Cha Maisha yako kinapaswa kua JANA YAKO MWENYEWE.

Hatupaswi kuishi kwenye Deadlines za watu wengine, kwamba nikifika Mika 35 niwe na kile na kile na kile, hapana, Kila MTU ana njia zake.

Nikawahi kuwaambia, Kuna MTU anapata Mafanikio akiwa na miaka 30 ila anakuja Kufa na miaka 40, mwingine anapata Mafanikio na miaka yake 40 ila anaishi miaka 90. Hiii ndo Huwa nasema Kila Mwanadam yuko kwenye Muda wake na Ratiba yake sahihi.

Ni lazima Kila Mtafutaji halali atambue tu kua Kila jambo na wakati wake.

Tuendelee kua na Ndoto, tufanye kazi Kwa Bidii, tujiongezee maarifa, Uvumilivu, Tuishi sawa na tulivyonavyo, Kukuomba Mungu.

Tujali Afya zetu Kwa kujitahidi sana

👉Kupunguza uzito.
👉Kunywa maji ya kutosha Mara Kwa mara
👉Kudhibiti unywaji Pombe.
👉Kudhibiti uvutaji sigara.
👉Kuachana na Ngono zembe.
👉Kufanya mazoezi walau Kwa siku tatu Ndani ya wiki Moja
👉Kufanya check-up ya mwili ,zaidi zaidi magonjwa yasoambukizwa , kuwahi matibabu mapema Kwa magonjwa yote.
👉Kula mlo kamili na Matunda .
👉Kuachana na unywaji na ulaji wa mavyakula ya Viwanda.
👉Kuachana na Mahusiano yasokua na maana Kwa ajili ya Afya ya akili.

Usiwaze sana kwamba Sasa ni 2025 as long as we make positive changes constantly then we don't need a New Year .
 
1.Kula tunda kimasihara
2.kuchaka mbususu ilihali unajua kabisa hiyo mbususu Huna uhalali nayo (mwenye mbususu si mkeo)
3.kuchakata mbususu au kuchakatwa nje ya ndoa.
4.ushoga na mambo mengine yanayo fanana na hayo.....
Lakini mbususu tamu ya wake za watu.
Ebu na nyie jaribuni utamu wa kugegeda mke wa mtu
 
Lakini mbususu tamu ya wake za watu.
Ebu na nyie jaribuni utamu wa kugegeda mke wa mtu
Huko kutafuta matatizo..... "kamwe siwezi kuweka nafsi, roho na Malinda yangu hatarini kwa upuuzi wa kutembea na make wa mtu..... kufanya hivyo ni fedheha pia karma iPo kweli ni nimeona... ukifanya hivyo na wako atakuja kuliwa tena kipumbavu hadi utajuta kwa nini umeoa
 
Huko kutafuta matatizo..... "kamwe siwezi kuweka nafsi, roho na Malinda yangu hatarini kwa upuuzi wa kutembea na make wa mtu..... kufanya hivyo ni fedheha pia karma iPo kweli ni nimeona... ukifanya hivyo na wako atakuja kuliwa tena kipumbavu hadi utajuta kwa nini umeoa
Acha wivu kwa mbususu bwana wewe. Kwani mkeo akiliwa na wee sii sii unakula mbususu za wengi.
By the way wee kutokula mbususu za wake wa wengi has no bearing on ur wife not being aten by other guys.

Mwanawane usije kujidanganya ukawa na mke tuu..ooh utalia kwa choo.
Kidume lazima uwe na wanawake 3+
 
Acha wivu kwa mbususu bwana wewe. Kwani mkeo akiliwa na wee sii sii unakula mbususu za wengi.
By the way wee kutokula mbususu za wake wa wengi has no bearing on ur wife not being aten by other guys.

Mwanawane usije kujidanganya ukawa na mke tuu..ooh utalia kwa choo.
Kidume lazima uwe na wanawake 3+
Sasa mkuu huo ni mtazamo wako.... mimi binafsi suala la uchakataji wa mbususu ni lakiroho zaidi siwezi chakata kama mtu sijaunganishwa nae kwanza kiimani maana najua madhara yake... na ikitokea mke wangu anagegedwa hovyo au ana mchepuko!! Na nikajua (lazima tu nitajua) namtimua tu ili awe huru kugawa na kugegedwa vizuri ya nini kujiumiza kichwa,,,, yanini??!
 
Sasa mkuu huo ni mtazamo wako.... mimi binafsi suala la uchakataji wa mbususu ni lakiroho zaidi siwezi chakata kama mtu sijaunganishwa nae kwanza kiimani maana najua madhara yake... na ikitokea mke wangu anagegedwa hovyo au ana mchepuko!! Na nikajua (lazima tu nitajua) namtimua tu ili awe huru kugawa na kugegedwa vizuri ya nini kujiumiza kichwa,,,, yanini??!
Ah sada kwa nini umtimue mke wako mzeya...wee ishi nae tuu maisha mbona simple sana usipoleta wivu juu ya mbususu.

So wee jamaa hujagusa mbususu za warembo unasibiria mkeo?
 
Hakuna vijana wanaopitia Magumu kama Hawa wa Dar , Vijana wa Dar wanataka mafanikio ya haraka sana, wanaumizwa wanapoona watu waliwafaham miezi michache nyuma wakiwa hawana kitu, sasa wanawaona Mitandaoni wakiwa wenye Mali, Magari mazuri, majumba mazuri.

Itakufaa nini kua Utajiri wa haraka sana lakini Umaarufu wako ukazima ghafla Ndani ya miaka 15 tu?. Kisha Mali yako zikayeyuka kisipatikane hata Cha kurithika?

Najaribu kusema hivi, hatupaswi kuishi Maisha yetu Kwa kuyalinganisha na wengine Kwa sababu hatima yake ni Maumivu.

Kioo Cha Maisha yako kinapaswa kua JANA YAKO MWENYEWE.

Hatupaswi kuishi kwenye Deadlines za watu wengine, kwamba nikifika Mika 35 niwe na kile na kile na kile, hapana, Kila MTU ana njia zake.

Nikawahi kuwaambia, Kuna MTU anapata Mafanikio akiwa na miaka 30 ila anakuja Kufa na miaka 40, mwingine anapata Mafanikio na miaka yake 40 ila anaishi miaka 90. Hiii ndo Huwa nasema Kila Mwanadam yuko kwenye Muda wake na Ratiba yake sahihi.

Ni lazima Kila Mtafutaji halali atambue tu kua Kila jambo na wakati wake.

Tuendelee kua na Ndoto, tufanye kazi Kwa Bidii, tujiongezee maarifa, Uvumilivu, Tuishi sawa na tulivyonavyo, Kukuomba Mungu.

Tujali Afya zetu Kwa kujitahidi sana

👉Kupunguza uzito.
👉Kunywa maji ya kutosha Mara Kwa mara
👉Kudhibiti unywaji Pombe.
👉Kudhibiti uvutaji sigara.
👉Kuachana na Ngono zembe.
👉Kufanya mazoezi walau Kwa siku tatu Ndani ya wiki Moja
👉Kufanya check-up ya mwili ,zaidi zaidi magonjwa yasoambukizwa , kuwahi matibabu mapema Kwa magonjwa yote.
👉Kula mlo kamili na Matunda .
👉Kuachana na unywaji na ulaji wa mavyakula ya Viwanda.
👉Kuachana na Mahusiano yasokua na maana Kwa ajili ya Afya ya akili.

Usiwaze sana kwamba Sasa ni 2025 as long as we make positive changes constantly then we don't need a New Year .
Umeongea ukweli mtupu mkuu yani ukweli mtupu.
 
Back
Top Bottom