Mwaka 2025 ndio Mwaka ambao Wanaume wengi watachukua maamuzi ya kukatisha Uhai wao

Mwaka 2025 ndio Mwaka ambao Wanaume wengi watachukua maamuzi ya kukatisha Uhai wao

ameangalia jamii ilivo kwa sasa,hii sera ya 50/50,imefanya wanawake hawataki kuwatii waume zao,,,,na ujue huu mpango wa 50/50 {haki sawa kati ya wanaume haikuanza leo] ilianza wakati ule mkutano ulipofanyika beijing-china [ukijulikana kama beijing conference],,wakati huo tanzania tuliwakilishwa na getrude mongela,,,,lengo lilikuwa kwenda kinyume na maagizo ya MUNGU,kihalisia MWANAUME ameumbwa kutawala,,,,sasa ikatengenezwa agenda ya kwenda kinyume,,,matokeo yake kwa sasa HAKUNA KI2 KIGUMU KAMA NDOA,ndo manake unaona walevi wamekuwa wengi[wanaume]mauaji ya kujiua na kuua yamekua mengi pia,,,lakini,,,hawa wazungu baada ya kuona wamefanikiwa hapo,hawakuishia hapo,wakaanza kutulazimisha wanaume kwa wanaume kuoana[ushoga]wanawake na wanawake kuoana,,,matokeo yake unaona wa2 wanazidi kuchanganyikiwa'lakini pia hawakuishia hapo,,,tajiri musk akaja na issue ya kutengeneza maroboti yakike na kiume unalioa unaishi nalo,,,,,,,kwa nini katengeneza maroboti?,,,,kwa sababu kaona fursa,,,,,ndoa hazipo tena!!...labda nikuulize wewe hapo,lini umerudi kazini mkeo akakupokea kabegi chako?
Alafu ukishakuwa destructed hao hao wenye fursa Lukuki watakaa barazani na vijiweni kukucheka na kudhihaki. Matokeo ya hii hayako mbali kama mtoa mada anavyosema mwisho wa siku Men anapunguziwa confidence kitu ambacho ni cancer mbaya then it's done.
 
Alafu ukishakuwa destructed hao hao wenye fursa Lukuki watakaa barazani na vijiweni kukucheka na kudhihaki. Matokeo ya hii hayako mbali kama mtoa mada anavyosema mwisho wa siku Men anapunguziwa confidence kitu ambacho ni cancer mbaya then it's done.
sure bro!!!
 
mi nahisi labda ungegusia mambo ya mikeka kufa ndo wajinyonge ningekusaport ila sio inshu za wanawake . tatizo la hawa viumbe halikuanza leo mkuu.
 
Labda uanze kujiua wewe maisha matamu sana nikipata buku ten navuta chura wangu nakula mzigo anapita ivi
 
Kuwa karibu na single mother au mtoto wa kike aliye lelewa na single mother ni sawa na kuwa na sumu mdomoni ikisubiri umeze
 
Matarajio ni wangapi watajinyonga tupate namba tulinganishe na miaka ya nyuma ili kuipa nguvu hoja ya jicho lako la nne kwa tofauti/ongezeko?
 
Naona yanaanza kutimia taratibu taratibu sasa hali inaanza kujionyesha wazi, vijana wasio na ajira wameanza kutoa milio yao huko maana wana option 2 tu wajiue au wauawe kwa kuidai ajira Serikali, ngojaa tuone kinachofuatia
 
Back
Top Bottom