Mwaka 2025 ndio Mwaka ambao Wanaume wengi watachukua maamuzi ya kukatisha Uhai wao

Alafu ukishakuwa destructed hao hao wenye fursa Lukuki watakaa barazani na vijiweni kukucheka na kudhihaki. Matokeo ya hii hayako mbali kama mtoa mada anavyosema mwisho wa siku Men anapunguziwa confidence kitu ambacho ni cancer mbaya then it's done.
 
Alafu ukishakuwa destructed hao hao wenye fursa Lukuki watakaa barazani na vijiweni kukucheka na kudhihaki. Matokeo ya hii hayako mbali kama mtoa mada anavyosema mwisho wa siku Men anapunguziwa confidence kitu ambacho ni cancer mbaya then it's done.
sure bro!!!
 
mi nahisi labda ungegusia mambo ya mikeka kufa ndo wajinyonge ningekusaport ila sio inshu za wanawake . tatizo la hawa viumbe halikuanza leo mkuu.
 
Labda uanze kujiua wewe maisha matamu sana nikipata buku ten navuta chura wangu nakula mzigo anapita ivi
 
Kuwa karibu na single mother au mtoto wa kike aliye lelewa na single mother ni sawa na kuwa na sumu mdomoni ikisubiri umeze
 
Matarajio ni wangapi watajinyonga tupate namba tulinganishe na miaka ya nyuma ili kuipa nguvu hoja ya jicho lako la nne kwa tofauti/ongezeko?
 
Naona yanaanza kutimia taratibu taratibu sasa hali inaanza kujionyesha wazi, vijana wasio na ajira wameanza kutoa milio yao huko maana wana option 2 tu wajiue au wauawe kwa kuidai ajira Serikali, ngojaa tuone kinachofuatia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…