Mwaka 2025 ni kimbembe, kama wakurugenzi hawatafanya yao CCM hawatoboi. Kanda ya Kaskazini wana yao pia moyoni,masasi yamelindima

Mwaka 2025 ni kimbembe, kama wakurugenzi hawatafanya yao CCM hawatoboi. Kanda ya Kaskazini wana yao pia moyoni,masasi yamelindima

Mkuu

Hongera kwa Uzi na picha pia

Duru za hapa jukwaani

Hakuna uchaguzi Hadi katiba Mpya ipatikane KWANZA na itapatikana 2026!

Ni hivyo tu !pigania katiba!


CCM na CHADEMA zitakufa na kuzaliwa chama kipya na upinzani mpya!kama TANU NA ASP NA KUZAA CCM!

TUSUBIRI!
 
Eti JPM alikuwa mbaya…hv angekubali wanyonge wanyanyaswe kwenye ardhi yao kisa mwarabu anapataka…

Ona kulivyo kuzuri…watu wameshainywa ardhi hio…wamasai sasa hv ni takataka
Alipouliwa Akwilina ilikuwa chini ya uongozi wa nani vile?!
Watu wa Kinondoni waliovunjwa mikono na miguu hakuwa mhusika?
Usilitaje tena jina la shetani yule.
Tatizo ni ccm ile ile
 
Iondolewe na nani na kwa sababu zipi ? Nani mbadala wa CCM ?
Labda wapewe Hao wabaguzi baguzi wa rangi na dini ndio watawale !! Kwa kweli CCM wapo wapo sana tu !! Maana inaonekana wao ndio angalau wanaweza kuisimamia hii amani iliyopo nchini !!
 
Ndugu zao wamemwaga damu kwa ajili ya ardhi yao ambayo wamekaa kizazi na kizazi. Mbona hatuajawahi kushuhudia haya mambo?

Ilianzia kanda ya Ziwa na sasa imefika kanda ya kaskazini.Mwaka 2025 ni kimbembe.
View attachment 2257711
Wewe una undugu na wamasai tangu lini?
Umeshawahi kumuona mmasai kwenye msiba wa mswahili?

Lowasa ni mmeru usimuingize humu.
 
Labda wapewe Hao wabaguzi baguzi wa rangi na dini ndio watawale !! Kwa kweli CCM wapo wapo sana tu !! Maana inaonekana wao ndio angalau wanaweza kuisimamia hii amani iliyopo nchini !!
Huo ndio ukweli ndugu yangu
 
Back
Top Bottom